Kila mtu ni shuhuda wa namna ambavyo jicho la democrasia limepigiliwa boriti kiasi cha kutoona kabisa nchini.WAteuliwa wa Mkuu wamekuwa ndio MaNyampala kwa kuwakamata na kuwatesa viongozi wa Upinzani.katika kutekeleza majukumu nje ya nafasi zao hawangalii nyuma tena wao nikutekeleza maagizo tu...
Huwajui watanzania wewe ingekuwa wanachagua viongozi kutokana na ilani za vyama vyao Lowasa angepata 100% ya kura zote coz hakukuwa na ilani bora na yenye majibu ya matatizo ya watz kama ilani ya chadema
Unaetumia weledi kufanya kazi katika serikali ni kazi sana hamjiulizi kwa nini hatusogei while kila ofisi ina professor au dr.??hakuna mtaaluma hata mmoja alietengenezewa mazingira ya kuinvent ideas zake instead they receive orders from high authorities ndio maana hata wakina Kabudi wanafokewa...
Criteria ulizotumia haziwezi kukupeleka kwenye uwiano sahihi wa kulinganisha ccm na cdm due to the fact that
Chama kutumia movement approach (harakati) ni developmental stage (moja ya hatua katika ukuaji wa chama cha siasa).kuhusu democracy ndani ya chama nadhani uteuzi wa mollel na mtulia...
Alilolifanya lina tija gani sasa katika maendeleo? Waziri ni master minder Wa wizara husika we need good policy and clear strategies of attainable goals in his ministry sio rubbish hizi na wewe unampongezaje MTU pale anapoigiza maisha halisi ya watz???do you think ana shida kweli ya maji...
MFUMO WA NCHI AMBAO UELEKEO UPO KICHWANI KWA MTU MMOJA KUPIGA HATUA ZA MAENDELEO NI NGUMU SANA JAMBO KUBWA LINALOFANYIKA SASA HIVI NI KUZUIA WALA RUSHWA WA ZAMANI NA KUONGEZA WALA RUSHWA NA MAFISADI WAPYA
MFUMO WA NCHI AMBAO UELEKEO UPO KICHWANI KWA MTU MMOJA KUPIGA HATUA ZA MAENDELEO NI NGUMU SANA JAMBO KUBWA LINALOFANYIKA SASA HIVI NI KUZUIA WALA RUSHWA WA ZAMANI NA KUONGEZA WALA RUSHWA NA MAFISADI WAPYA
Amesema ana hela kuliko serikali kila mmoja anafahamu hakuna tajiri yoyote duniani mwenye pesa kuliko government tra officer unaitisha press kwa kodi zetu kwenda kuchunguza kitu ambacho hakipo na hutomshitaki sababu atakuruka tu si wendawazimu huuuu
Daaaah umetisha mwana watawala hawatumii akili kabisa katika kupambana na wasiowapenda its better to stay calm rather than chasing a dog which steal your food
Anaitwa selementary ana nyimbo nyingi sana but the hottest one is nataka kuinunua DSM ft belle nine yupo smart sana kichwani mtafute YouTube mzee Nina hakika hautojutia kumfahamu
Mara zote tumekuwa ni watu wa kubishana tu pengine bila uelekeo kamili nje ya milengo ya kisiasa na tukumbuke elimu ya uraia inazidi kuongezeka kwa wananchi kadili upinzani unavozidi kukuwa. Watanzania wamejua wajibu na stahiki zao nyingi kutoka serikalini Mara baada ya kukua kwa siasa za...
DAB nae ni hadhina for what??? I think we keep the rotten eggs in the cupboard because trush is very close to our open window....MTU anaejitahidi kutuaminisha kuwa to get zero is nothing but being responsible is wealthy juu ya mgongo Wa mwenyenchi anapewa nafasi ya kutathminiwa kwa sehem ndogo...
Kama kuambiwa ukweli tuu hataki vipi kumkosoa?? Angekuwa hataki kukosolewa si angeruhusu mikutano ya kisiasa ili wapinzani watoe mbadala katika mikwamo nchini kama uchumi sector ya afya elimu n.k !!![emoji37] [emoji37] [emoji37] NB kwa nchi iliyostaarabika na yenye siasa safi hakukuwa na haja...
Ngoja nikutoe tongo kidogoo ndugu yangu vita ya kuitafuta mamlaka dhidi ya watawala katika misingi ya demokrasia ni kujua unaotaka kuwaongoza wanahitaji nini kwa hiyo unatakiwa kuuza mipango na mikakati imara yenye tija, ( sera) itakayowavusha kwenye changamoto na kuwapa ahueni ya maisha...
Nadhani wewe ni kijana mdg soon you will have a family futa dhana ya ujenzi wa majibu mafupi yaliyofungika( enclosed answers) kwenye maswali ya wazi hasa yanayoweza kulenga kuupima ufahamu wako( during self assessment you may hang yourself and loss your life ).Siasa za majimboni baada ya...
Chama hakiwezi kukosa ilani vision and mission.currently hakijashika dola hivyo huwezi kuiona implementations za ilani yake ukumbuke siasa zimezuiliwa kufanyika hasa za majukwaani ambazo ndio zilikua kama darasa kwa wananchi kuhusu ilan/vision / mission of any political party.fair analysis of...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.