Search results

  1. T

    Wapi dsm wanauza simu original nokia c7 au huawei ?

    wakuu,naomba kwa anayefahamu eneo au duka lipi ninaweza kupata simu mpya nokia c7 au huawei honour zote zina kamera ya 8 mpixel
  2. T

    Hivi watawala wanayafanyia kazi maoni ya watanzania au ndio wanategemea dora kuwasaidia?

    Kwa muda sasa nimekuwa nikifuatilia maoni ya namna serikali hii inavyoendesha mambo yake. Pasipo na shaka nimegundua kuwa watanzania wamechoka na namna mambo yanavyoendeshwa hii ni kutokana na maoni wanayotoa. Ambacho kinanitia shaka ni namna watendaji wa serikali na chama tawala wanavyodharau...
  3. T

    Msaada wa kitaalam

    Ndugu wana Jf ninaomba wanaofahamu ubora wa Nokia E7 wanipe data maana nimejaribu kudownload operamin naambiwa inahitaji frames.Hii simu imeandikwa made from Finland lakini nahisi inaweza kuwa mchina at work.Kwa aliyewahi kutumia tafadhali
  4. T

    Msaada wa program ya typing pal

    Ndugu wana JF ,ninaomba msaada kwa mwenye program ya typing pal.Pia iwapo kuna anayefahamu jinsi ya kupata hiyo program ikiwa free anijuze.
  5. T

    Mjadala wa katiba live star tv toka ARUSHA

    Kwa wanaoweza kufuatilia hivi sasa mdahalo kuhusu mustakabali wa katiba mpya unaendelea star tv toka arusha
  6. T

    Kwa kauli ya kamanda Issaya mngulu polisi watakuwa chanzo cha uvunjifu wa amani

    Mngulu anasema hayuko tayari kuona wapinzani wakisherehekea ushindi hata kama watakuwa wameshinda .Haya ni matatizo kwani mwaka jana majimbo mengi ambayo wapinzani walishinda yalitangazwa baada ya maandamano.Anaposema anamsubiri kiongozi furani aandamane kudai ushindi ili yeye mwenyewe apambane...
  7. T

    Baraza la mitihani mnasubiri maandamano ndio mtoe matokeo ya mitihani ya UALIMU

    Katika kuonyesha kwamba shughuli nyingi za serikali zinaendeshwa kisiasa baraza la mitihani tanzania halijatoa matokeo ya mitihani ya ualimu iliyofanyika mwezi mei.Inaweza kuwa wanasubiri maelekezo toka wizarani ili watakapotoa na ajira ziwe tayari,swali ni kuwa iwapo serikali haina fedha za...
  8. T

    Msaada:Battery kutotunza charge kwa muda mrefu.

    Habari wana JF.Nilinunua laptop Dell inspiron 1545 miaka 2 iliyopita.Toka ikiwa mpya mpaka sasa uwezo battery kutunza charge ni mdogo sana si zaidi ya dk 30 toka umeme unapokatika.Je hii ni kawaida?Nifanye nini ili niweze kupata battery inayokaa muda mrefu hasa kipindi hiki cha mgao wa...
  9. T

    Nini Msaada / unafuu ulioletwa na mkongo wa taifa wa mawasiliano ?

    Habari wanajamii F.Mimi nimekuwa mtumiaji mzuri wa internet kwa muda mrefu kabla hata mkongo wa mawasiliano haujaanza kuzungumziwa.Ninachoshangaa ni kwa kumekuwa kukitolewa taarifa mbalimbali kuhusu uwepo wa mkongo huo na faida yake.Swali ni je hapa tulipo ndio tumeshaanza kufaidi huo mkongo wa...
  10. T

    Watanzania mngependa badget ijayo iendelee kumkamu mtanzania ?.toa maoni yako

    Wana JF zikiwa zimebaki siku chache kabla ya badget kusomwa bungeni nimeona ni vema tushiriki kutoa maoni yetu kwa serikali juu ya hali ya maisha ilivyo hata kabla ya badget ya kodi kuanza kujadiliwa.Kwa mfano bei ya mafuta,nauli,sukari,nafaka na vinginevyo zipo juu.Wenzetu kenya inasemekana...
  11. T

    Usagara sec school (look to this day) inakukumbusha nini ?,soma hapa

    Bila shaka wana Usagarian Mpo na mnapita hapa JF.Kupitia kona hii mwaga data unakumbuka nini juu ya shule hii.Mfano binafsi nakumbuka ushirikiano miongoni mwa wanafunzi na walimu,je wale waliokuwa sayansi mnazikumbuka zile MAABARA nzuri na walimu wake? Karibuni wote
  12. T

    Zawadi mei mosi kitaifa kwa mwalimu imetolewa na mwajili au CWT?Je mkurugenzi wa Moshi

    Zawadi za wafanyakazi bora ,aliyenacho ndiye anayeongezewa?Hivi kweli Serikali inatoa 600,000/= kwa mwalimu zawadi ya mei mosi wakati kada nyingine wahudumu wamepewa zaidi ya 1Million,hii imekaa vipi
  13. T

    Wadau wa Tanga vipi kuhusu star times imeshaanza matangazo?

    Kwa mujibu wa matangazo star times walisema wataanza kurusha matangazo tanga.Je wameshaanza kama ndio yana mvuto wowote au ndio wizi mtupu
  14. T

    Hivi serikali na wananchi nani mwenye nchi?

    Nimemsikiliza Jaji werema Kupitia Startv ktk kipindi cha tuongee asubuhi hoja zake zimeegemea serikalini kuhusu muswada wa katiba,anasema wao hawataki watu wajadili muungano na mambo mengine ,swali je huo sio udikteta?
Back
Top Bottom