Wakuu habarin za kazi.
Natafuta fundi mzuri wa hizi nyumba za contemporary aliyeko Mbeya mjini kwa ajili ya kufix sehem kwenye ofisi panavuja.
Ofisi imejengwa kwa aina hiyo hivyo kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha imeanza kuvuja hivyo naomba tuwasiliane ili aje kufix.
Anichek 0621 164 143.
Wakuu habarini za asubuhi,
Nashukuru Mungu nimemaliza kujenga boma na sasa nimebakiza kupaua km Mungu atajilaalia. Sasa nataka kupaua na bati za Alaf hasa zile zenye umbo km vigae.
Naomba anayejua aniambie bei zake au ushaur wowote kuhusu hiz bati ili nikamilishe ndoto zangu.
Natanguliza...
Kuna eneo linauzwa ambalo liko na kibanda chake, maeneo ya Mbutu kigamboni. Unaeza hcho kibanda ukakiendeleza kwa makazi au unaeza kuamua kufanya ufugaji pia au unavyopenda mwenyewe.
•Ukubwa ni mita 20 kwa 25
•Kiko center
•Nauli kwa daladala kutoka fery ni 1000/
•Nguzo ya umeme iko karb na hlo...
Wakuu habarini za usiku huu, naomba kujuzwa application nzuri ambayo itanisaidia kuona football live kwa simu ya iphone (IOS).
Natanguliza shukran kwa wenye kufahamu.
Gari iko sokon. Haina muda mrefu toka iingie bongo. Ilikua inatumika kwa usafirishaji ila kuna misunderstandings zimetokea btn owner and driver hivyo imeamuliwa kuuzwa.
Gari iko Dar es Salaam, imetumika 120000 kilomita.
Bei ni milion 10.
Kwa more business details please dont hesitate to PM...
Nauza king'amuzi cha azam chenye dish lake pamoja na TV inch 21 ain ya Mr. UK vyote vikiwa na remote zake.
Bei yake ni laki tatu (300,000) kwa vyote.
Viko Dar, Nichek PM tufanye biashara.
Negotiation ipo kwa wenye uhitaji.
Wakuu naomba kuuliza. Takribani wiki moja sasa nchi ya Tanzania imekumbwa na msiba wa bilionea maarufu Dr. RA Mengi lakini katika hali isiyo ya kawaida sijaona bwana nywele nyeupe. Huyu ndugu kwa kawaida hakosagi misibani au popote penye huzuri hutokea kufariji watu lakin safari hii imekua...
Niwe tu muwazi kwamba mimi si mtaalamu wa mambo ya boxing ila ni mfuatiliaji na mshabiki wa mchezo huu toka enzi za akina Tyson za kuamka alfajiri kusubiri pambano na Lewis. So ni shabiki wa mchezo ila si mwenye taalum nalo.
Jana majira ya saa nne usiku kulikuwa na pambano la masumbwi...
Wadau nauza mzani mdogo wa kupimia uzito wa kawaida kwa wanadam. Ni ule mzani ambao unakanyaga kupata kilo zako. Ni wa analog na sio digital.
Mzani huu nlikua nautumi kwenye project yangu flan na nmeutumia kwa almost two months na bado upo kwenye box lake.
Anayeuhitaj anaweza kuni-pm tufanye...
Habarini wadau, mwaka jana nilikutana na mtoto mmoja mzuri maeneo flan ya katika ya jiji ilikua lunch time kwa mara ya kwanza namuona, ikawa tunakutana hapo mara kwa mara wakati wa chakula cha mchana ikawa tushafahamiana japo kwa sura.
Baada ya moyo kunisokota sana siku moja nikamkuta akiwa...
Habarin za mchana waungwana, poleni na majukumu ya kujenga taifa letu pendwa la Tanzania.
Niende kwenye mada husiku, nimekua mtumiaji wa mwendokasi mara nyingi ninapoenda kwenye mizunguko yangu. Kuna vitu haviko sawa na sijui kwanini havifanyiwi kazi na mamlaka husika inayotoa huduma hii. Sisi...
Guys, habarini za usiku huu. Kuna kitu najiuliza sipati jibu ni kuhusiana na internet ya airtel ambayo mpka leo hii wapo 3G na inaonekana hawatak kabisa kwenda juu kwenye 4G km tigo au vodacom. Nataman sana ninunue line yao ila hilo linanikwaza maana sipend simu iwe slow kwenye internet. Napenda...
Kiwanja kinauzwa maeneo ya dege kigambon,
chenye ukubwa wa mita 35*35.
Kipo maeneo ya dege kigambon jiran na yale magorofa.
Hakipo mbali na barabara.
Hakijapimwa ila kiko kwenye maeneo ya makaz coz baadhi ya majiran wamepima tayar.
Bei ni milion 6 ila inapungua.
Karibuni serious buyers...
Wadau habarini za asubuhi, hope mnaendelea vizuri na majukumu ya kila siku ya kupambana na gurudumu la maisha nchini Tanzania.
Niende kwenye hoja iliyonileta, ni hivi kuna huu ustaarabu hasa kwa watu wa mikoa ya nyanda za juu kusini yaan mbeya, iringa, njombe, songwe nk. Lakin pia upande wa...
Habarini za weekend ndugu zangu na polen na maisha ya Tanzania.
Back to the topic, naomba kujuzwa hivi kwanini nguo aina za madera ambayo huvaliwa na wakina mama au wakina dada yamechukuliwa kama nguo ya heshima?
Utakuta mmama mtu mzima tena mungu kamjaalia mashallah kavaa dera then huo...
Habarini za asubuh wadau, kuna nyuma inauzwa kigambon kata ya mji mwema eneo la kibugumo. Ni nyumba ambayo ipo ktika hatua za mwisho kumalizika. Kuna mambo ya yametokea kunahitajika pesa ya haraka ndio sabab inauzwa. Nyumba ina vyumba vitatu kimoja kikiwa master, sitting room, study room, dining...
Hakuna kitu nakwazika kama mbunge anapewa nafasi ya kuuliza swali la moja kwa moja au gafla kwa waziri mkuu then anauliza utumbo utumbo tu.
Kwa Tanzania yetu ya leo ilivyo na vikwazo kibao eti mbunge anauliza je Tanzania imejipangaje kuiboresha Serengeti boys..Dah huyu alipaswa amwandikie tu...
Habarini za asubuh wadau,
Kichwa cha habari hapo juu kinahusika, naomba kujulishwa ni lini chuo cha kairuki kinaanza kutoa nafasi kwa vijana kufanya application kwa mwaka wa masomo wa 2018/2019 hasa kwa ngazi ya diploma. Nina kijana wangu nataka nimpeleke hapo kwa ajili ya diploma ya nursing...
Niko sehem fulan hapa napata lunch..sasa kuna jamaa kaka na demu wamemaliza kula nadhan ilikua ni wakat sahihi wa jamaa labda kuanza kutia vocal au stor flan za kusisimua, sasa kinachoendelea demu anaongea mambo ya kanisa tu mwanzo mwisho. Namnukuu "sisi kwetu tunasali sana yaan mimi asubuh...
Za jioni walimwengu mnaopita jukwaa hili, kuna jambo dogo ambalo nataka niwahadithie ambalo kwa siku za karibuni linaninyemelea.
Katika nyumba ninayoishi kuna kaya tano ambapo kila moja inajitegemea japo gate kubwa la nje tunashea kwa maana tunalitumia wote. Na katika kaya zote zinazoishi humu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.