Leo tarehe 25|04|2018 asubuhi mida ya saa kumi na mbili asubuhi, niliamshwa na milipuko ya risasi na mabomu nikaharuki kidogo lakini nikakumbuka trh 26|04|2018 kutakuwa na maandamo.
1.Nikajiuliza ni kwa nini watumie nguvu nyingi kiasi hiki kututishia side walipa kodi, tuliowanunulia silaha kwa...
Prrrrr haha Tanzanians.
Once I met this Kenyan gal while chit chatting she asked abt my view on KE Political situation.
Me: You guys Claims that you are enlightened, aware, 100 years ahead of tanzanians, but still stuck with the same master till now, revolutioneers headed by a man in his 70's...
Tuna uwezo Mdogo sana asee, hata vita vya 1&2 vya dunia vilivyoanza, watu waliona kama haitawaathiri kabisa.
Same kwenye hili la trade war btn China and USA.
Yaan China na USA ndio wanaofanya biashara na Dunia.
Hii vita yao ikiendelea itaharibu Global supply chain.
1. Choice of investment...
Hehehe..
Jamaa anapenda sifa sana.. Yaani sio waifanyie kazi ila wampongeze..
My take.
Ana almost miaka mitatu kama Prezda kwa nini asilishughulikie mwenyewe hili nakuifanya Research yake kuwa hai..
Ulikuwa wapi mpaka ndege imetolewa ndio ukaaona ni muda muafaka wa kuandika hili andiko lako.
Swali ni je.. Nan kakutuma au mlikuwa hauna uhakika na ulichopewa uandike au vipi.
Kama serikali ingekuja na majibu kama deni lililipwa ndio maana ndege ikatolewa au la.. Hayo majibu sisi hatuna.
Ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.