Ndugu wana Jf,najiuliza mara nyingi sana juu ya huu mfumo mpya wa ubashiri wa mpira wa miguu nilio uandaa.Binafsi naona inawezekana kabisa,sijui kwa upande wenu
OPTIONS KWA AJILI YA UBASHIRI WA MECHI 12.
Kuna jumla ya options 531441 kwa betting za mechi 12,ambapo kwa mpangilio wowote ule utakao...
Ndugu wana Jf,ubashiri wa mechi 12 una options nyingi,ambapo ilizilete mafanikio,ushirikiano ni muhimu na ni baada ya options zote kuwa mikononi mwa watu.Pia hizi options zinaweza kutumika kuunda kampuni!! Kwa kuwa kwa mpangilio wowote wa mechi 12 unaofanyika,kunakuwa na option 1 ilo shinda...
Ndugu wana Jukwaa,ninauza kiwanja kinapatikana Dar,Mbezi,Mpiji,Magula kituo cha igoma,kipo mita 9 kutoka kituoni,umeme na maji vipo,na kipo eneo la tambarale,20-20 ni 8 M na Nusu,20-25 ni 13M,na 20-30 ni 15M,nipate kwa namba ifuatayo
0764732326
Haloo,kwa wana Jf ninahitaji laini mbili za uwakala wa Mpesa kwa mwenye nazo anicheki kwa namba zifuatazo hapa chini
0753263069
Niko kagera,wilaya ya kyerwa.
Ndugu zangu,
Ninaimani kuwa hamjambo,
Kwa miaka mingi sana tangu soka kuanza ubashiri wa matokeo umekuwa uleule, kwa makampuni yote duniani, binafsi nimekaa na kuunda formula tatu, ambazo ni kwa ajili ya ubashiri wa mechi 12 pekee, ambapo ndani ya formula kuna TIPS, nina imani kuwa mda wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.