Habari, wana Jf.
Kutokana na faida na utamu wa juice hii, imepelekea juice ya miwa kupendwa sana mjini.
Tubadilishane uzoefu kwa wamiliki wa biashara hii, je mashine hasa zile za umeme zinapatikanaje na kwa bei gan, na vp kuhusu upatikanaji wa Miwa hususani kwa Dar es salaam.
Karibuni.
Photocopy nzuri ni Canon Image Runner 2525 bei 1.5mil, zinapatika Kariakoo. Angalizo: kabla ya kufungua biashara ya stationery fanya utafiti wa eneo la biashara kwanza vinginevyo utaifunga au kugeuza banda la Miamala na Vocha tu.
Heshima kwenu wadau,
Kuna kiasi nimepata hapa, nahitaji kuwekeza katika hizi biashara za Maxmalipo na Selcom, kwa wazoefu tupeane ujuzi ipi ni bora na kamisheni zake ziko vipi.
Karibuni.
Hapo kwenye comprehensive insurance, bodaboda zimefungiwa wanatoa comprensive kwa pikipiki binafsi tu..ndo shida ya bodaboda sijajua kwanini makampuni ya bima yamesitisha huduma hii.
Kuna ulazima gani? wa kutoa vyeti na ni mamlaka gani? inayomtaka atoe vyeti. na asipotoa kitatokea nini? Na kwanini haya yote yaibuke kwenye sakata la dawa za kulevya.
Mafunzo yanatolewa Ofisini, Tupo Mbezi luis (Mbezi ya Kimara), kwa wakazi wa Dar es salaam, ni Rahisi zaid ukifika Mbezi ya Kimara kituoni, Tupigie simu tutakufata ulipo. +255 657 729 394.
Logo (Nembo) hutengenezwa kwa software mbalimbali kama vile, Adobe illustrator, Adobe photoshop, Cinema 4D, Coral Draw na software zingine nyingi, hizo nilizokutajia ndio software muhimu zaidi. Kikubwa kabla ya kutengeneza Logo unapaswa kua na utaalamu yani (skills) kwani hii ni taaluma kama...
Acha kumdanganya Mwenzio, Hio sio Red Camera. Hio ni Black Magic, Camera ingia Google search Red Cemera na BlackMagic uweze kuzitofautisha na Wala hazifanani kimaumbo. Next time jibu kitu ukiwa upo una ujuzi kama huna ni vema ukakaa kimya sio kuingiza watu chaka.
Watanzania wenzangu hususan wapondaji, Acheni fitina mwacheni kijana apige Kazii hii Nchi ilifikia pabaya. Mpk leo cjajua watanzania mfanyiwe nn mfurahi wasipo fanya majukumu yao na madawa ooh! Hii Serikali haiwajibiki mara vipngozi ovyo kabisa, wakipiga kazi bado lawama haziishi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.