Kuna Uzi unaeleza namna tunavyo kuwa programmed kufikiri
Mwandishi ameelezea juu ya movies na athari zake katika kufikiri
Mods naomba Uzi huu ubaki hapa
Mwezi wa tisa napata likizo ya siku 50 .Napenda kutumia likizo hiyo kujifunza ufundi wa matatizo ya kawaida ya computer .Fundi yoyote aliye Dar es salaam na anawiwa kunisaidia kwa namna tutakayo kubaliana .Naomba ani pm mawasiliano yake. Asante
Siasa imekuwa biashara wanasiasa dhaifu wanahama hama vyama kama wehu.
Wanasiasa dhaifu wanauza utu wao kwa vitu au madaraka .
Biashara ya kununua wabunge na madiwani haina faida kwa kila wananchi .Ni vituko
Wananchi tunapata hasara kubwa kodi zetu kutumika vibaya na watawala wabaya wakoloni...
Wazazi wangu walikuwa wakinikataza kushirikiana, kucheza na baadhi ya watoto wenzangu
Sikuwa msikilizaji nzuri wakati huo. Nilijiambia hawa Ndio marafiki zangu
Nikiwa darasa la Saba rafiki yangu kipenzi alidokoa dukani kwao kiasi cha 30000 Alitumia pekee yake. Mzee wake alipogundua...
Salaam
Imekuwa Kawaida kwangu mwili kusisimka Yani kama nimemwagiwa maji ya baridi Nikipita maeneo baadhi
Zaidi ya Mara tano nikiwa kwenye mizunguko najikuta nafika sehemu nguvu za kuendelea sina nageuza bila kufika nilipo kuwa naenda tena Sio kwa hiyari na jikuta tu nimegeuza
Nimejaribu...
Salaam
Wandugu tatizo langu Ni Hili tumbo kunyonga ni kila chakula kilicho pikwa kwa mafuta kama wali Mboga zilizo ungwa....
Wataalamu tatizo Nini Hapo
Tiba yake Nini?
Asante
"Kazi ngumu zaidi ya raisi Sio kufanya kilicho sahihi bali kutambua kilicho sahihi "
Nianze kwa kusema maradhi makubwa yanayo msumbua bwana Pombe na wateule wake Ni Chuki, uhasidi na Uadui. Bwana Pombe na wateule wake wamekua wakijitafutia sifa kwa kuumiza Wengine.
Ni watu walioshindwa...
Amini na waambieni enyi waswahili wachache. Mnaotawala, mnategemea kweli kuwa mtawaongoza watanzania. Kwa lazima wakati wamepoteza matumaini na mnategemea kuwa watasalia wamekaa kimya Kwa amani na utulivu?
Wakati Wengi wa wananchii wanapoteza matumaini. Unajenga volcano, volcano hii italipuka...
Leo Hii niko hai pengine kesho inawezekana nisiwe Hapa .Nitaendelea kuwatumikia wananchi ....Mpaka pumzi yangu ya Mwisho.
Na kama nikifa kila tone la damu yangu litajenga muungano usiofutika
Tupo tayari kuangamiza nafsi zetu.
Tunasema haya Hakuna anaye fikiri watavunja Nia zetu kwa silaha...
Tarehe Kama ya Leo Tupac Shakur alipigwa risasi Las Vegas. Siku sita mbele alikufa September 13,1996. Ameacha utajiri wa mashairi yanayoishi hata sass. Ni wimbo gani toka kwa Tupac Shakur unaupenda. Mimi kuna changes na dear mama. Wewe je
Vitabu vya apokrifa. Je umewahi Kusikia biblia yenye Vitabu 72? "Huu ni uvumbuzi Mkubwa watu wengi watakasirika"Habari hii inabadili historia ya ukristo wa mapema"maneno Hayo yenye kuchochea fikra yalisemwa na wasomi...
Salamu Kwako. Baada ya kuchepuka Kwenda chuo Ni meamua kurudii mwaka huu Kusoma business administration accounting Open university. Kwanini open university? Kwasababu kuna shughuli za kimaisha nafanya nimeonelea open university itakuwa Ni rahisi kwangu ku balance muda. Lengo la uzi huu kwa...
Wakuu na hitaji kujua Kuhusu business administration evening class utaratibu upoje Yani Ada, na muda wa kuanza na kumaliza vipindi nimeangalia prospectus na guide book haija elezwa
Asante sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.