Mkuu salam nyingi na baraka tele kwako huko uliko, hebu weka album/CD ya MVUA YA MAWE, MT. MONIKA SINZA naipenda Ila nlipoteza CD take enzi hizo hakuna computer, natanguliza SHUKRAN NYINGI
With due respect RUBANI SHEBBYDO, I SALUTE YOU, UMENIGUSA MPAKA INNERMOST PART OF MY HEART N SOUL, OMBI LANGU NI UTUWEKEE SKETCH YA NDEGE-ANY MODEL IKIONESHA HIZO FLAPS, VERTICAL, HORIZONTAL STABILIZERS, AIR SPEED SENSORS, KWA UJUMLA SEHEMU ZA NJE ZA NDEGE TUNAZOZIONA ILI NIKIWA KARIBU NA NDEGE...
Wale mnaolalamika hamko karibu na TV jamani nenda kwenye play store etc etc pakua app ya ITV Tanzania uangalie live isidingo kupitia simu yakoo. Mubasharaaa mi nafanyaga hivyo nkichelewa kwa tv
Wanajua majamboz alafu wana true love, pia hata mkilala njaa hawasemiii kwa kitaa, wana kitu kinaitwa "economize" na sio misery kama wengi wanavyowatania
@ akazuba ..in short kiwanja cha namna hiyo ni kidogo tunaita non instrument...
Hebu malizia hiyo non instrument..... Imekatikia au ile picha imekuwa super imposed kwenye maandishi ya mwisho. Nimeendelea kuelimika.
Leo tarehe 18/10/2016 usafiri kwa kutumia mabasi ya mwendo kasi ni heri daladala mara elfu moja. unasubiri gari kwa saa moja kituoni wakati kwa daladala hata ijae kiasi gani itachukua dakika kadhaa inakuja kama ni kubanana sawa tu unasonga mbele.
Hivi hao viongozi wa UDART mnajua mnalopaswa...
KAMA ULISHAWAHI KUANGALIA DOCUMENTARY KWENYE NATIONAL GEOGRAPHIC KUHUSU WANAVYO SAFIRISHA MABAWA YA NDEGE TOKA SEHEMU MOJA KWENDA ASSEMBLY POINT AMBAYO NAFIKIRI IKO TOULOUSE UFARANSA UTAGUNDUA KUWA HIYO NDEGE INATUMIKA, BAWA LINAINGIZWA KAMA LILIVYO, VIPANDE VYA NDEGE HUTENGENEZWA KWENYE PLANTS...
sasa mkuu ice aka barafuu nikushukuru kwa highlights za q400, niulize kuwa hao watakao deliver, kwanza wanatua mara ngapi huko njiani? Pili kama wanavuka atlantic ambapo urefu wake/distance pwani ya amerika mpaka west africa ni more than maximum non stop distance ya q400 ambayo ni nafikiri...
Wataalam wa aerodromes wanifahamishe kuwa hii sentensi inamaanisha nini hasa hapo red:
''Upanuzi wa uwanja wa ndege wa Dodoma unahusisha njia ya kuruka na kutua kwa ndege, yenye urefu wa kilometa 2.5 na mita 500 za taa za kuongozea ndege na usalama wa kuruka kwa ndege'' Je inasaidia nini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.