Ndugu Mteja, tunakusanya tozo ya serikali kwenye akaunti yako kwa miamala ya tarehe 8 Sep 2021 mpaka 6 Oct 2021. Unaweza hakiki kupitia taarifa ya akaunti.
Hili Jambo ukweli Lina udhi sana ,sijui wanakwama wapi? Tulishapewa miongozo ya kusajili laini na kuzihakiki Sasa sijui wanawashwa na Nini na hii mi kelele
Hii ni Jana tarehe 12/02/2020 ukweli ni Hatari sana hii njia kulala porini ni kawaida sana kama hapo tanker limedondoka limefungua njia
Sent using Jamii Forums mobile app
Inawezekana maana Tz nikubwa lakin swali fikirishi pamoja na kua mteja pale Wa Chakula lakini mabinti zake walikuvutia zaidi kama unavyosimulia yawezekana shemeji yetu alipatikana hapo na ikawa chanzo cha wewe kuwa mjuzi wa aya mambo maana nirahisi kuchota maarifa kwa Mrs?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.