naomba kuuliza hivi mtoto anatakiwa ajisaidie haja kubwa kwa muda gani baada ya kuzaliwa?? maana kunamtoto kazaliwa na bado hajanyonya wala kula chochote lakini kapata choo tena mara mbili ndani ya masaa sita toka azaliwe
Naomba kuuliza hivi mtoto anatakiwa ajisaidie haja kubwa kwa muda gani baada ya kuzaliwa? maana kunamtoto kazaliwa na bado hajanyonya wala kula chochote lakini kapata choo tena mara mbili ndani ya masaa sita toka azaliwe.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.