Wengi wao jeuri sana, wiki mbili zilopita nilienda hospital nikatibiwa fresh ile nataka kutoka kufika getini nikakutana nae msichana mdogo tu mlinzi.
Akaanza haya kaka geuza hapo hapo hakuna njia huku ni kwa kuingilia tu. Nikamjibu naomba nipite ka leo tu kwa kuwa naumwa sana siwezi kuzunguka...
Chondechonde mama msije mkajisahau mkaturudisha huko tena. nashauri hata Waziri Mkuu,Majaliwa akimaliza mda wake muacheni akalime huko lindi, ndio mazao ya mwendazake hayo.
Huyu Pm tumuogope sana sana ana chembechembe za Hayati.
Ndugu wakweli siku hizi ni mke, watoto zako, baba&mama na washkaji. Mbali na hapo tegemea maumivu tu.
Mimi siongei na mdogo wangu na wajomba zangu chanzo mali zangu na kazi yangu. Wanatamani nifukuzwe kazi, nimepeleleza wanasema najisikia naringa nimekuwa sasa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.