Search results

  1. P

    Kifo cha Tambwe Hiza kiwe fundisho kwetu

    Ndomana mnakufaga na magonjwa yenu,unaambiwa dawa ipo ya kienyeji utaki,haya basi baki na wagonjwa wako.
  2. P

    Kifo cha Tambwe Hiza kiwe fundisho kwetu

    Pumu inatibika kwa tiba za kienyeji,kuna rafiki yangu alikua anatatizo la pumu,tukaelekezwa twende kwa mpemba mmoja yupo tandika,akapewa dawa,baada ya kutumia sasa ni mwaka wa tano,hajasumbuliwa na pumu.
  3. P

    Mume wangu lini nimekunyima utamu?

    Anaimarisha misuri ya mboo yake,maana nyeto pia ni sehemu ya mazoez.
  4. P

    Salum Mwalimu ana watoto, asidhalilishwe

    Sisi tunataka mtu Wa kufanya kaz,sio mke wake.zito kabwe alianza ubunge kabla hajaoa,na wengine wengi tu.
  5. P

    Kwa mfumo wa kampuni ya New Force lazima wafanyabiashara wetu wafilisike

    Mmeisha anza fitina,biashara ushindan.ushindan ndio unafanya biadhaa iwe bora.
  6. P

    Dr. Slaa apewe fursa ya kutufanyia tohara ya kisiasa

    Tunatakiwa kuamin ktk taasisi,sio mtu.akiama chama anaendelea kuwepo na anatoa changamoto kwa wengine.akifa je?
  7. P

    Walimu wa secondary kwenda msingi serikali inakwepa nini

    Ujanja ujanja kama huu,hauwez kusaidia.Ndomana,elimu yetu inakosa thaman,kila kiongoz anataka kuja na mifumo yake,na mifumo mingine haina tija kabisa.
  8. P

    Kilichomponza Tido Mhando ni uzalendo wake

    Namkumbuka tido,ndio aliyekuja kulifanya gazeti la mwananchi liwe bora kuliko magaxeti yote,kwa sababu ya misingi aliyoiweka kwenye gazeti la mwananch,mwanaspot na the citizen, mpaka Leo ni magazeti bora.amefanya mageuz makubwa sana kwenye tasnia ya habari Tanzania.
  9. P

    Charles Hillary amkaanga Polepole kuhusiana na marudio ya uchaguzi, Polepole ajing'atang'ata

    Zaidi ya billion moja,ni gharama za kawaida tu,duuh!!!.
  10. P

    KISUTU: Tido Mhando afikishwa Mahakamani, asomewa mashtaka matano na kuachiwa kwa dhamana

    Huyu kaisababishia serikali hasara ya million 884,vp wanaojihudhuru ubunge na kugombea tena?
  11. P

    Waraka kwa Jaji Mkuu wa Mahakama ya Tanzania, Profesa Ibrahim Juma

    Wasimamizi washeria,wanakiuka sheria.vp kwa sisi tusiojua sheria?
  12. P

    Walimu wa secondary kwenda msingi serikali inakwepa nini

    Tatizo hujaelewa,hapo Uganda tu,wanatoa degree in primary education.huyo mtu mwenye degree anatakiwa asome mambo ya Shule ya msingi,sio asome mambo ya sekondar harafu umpeleke akafundishe Shule ya msingi.sasa,niambie chuo gan Tanzania wanatoa degree ambayo inadili na elimu ya Shule ya...
  13. P

    Walimu wa secondary kwenda msingi serikali inakwepa nini

    Kwa nchi zinazoelewa umuhimu Wa elimu,hawawez kumchukua mwalimu Wa sekondar kumpeleka Shule ya msingi,sababu njia za ufundishaji wa Shule za msing na sekondar ni tofauti,content ya msing na sekondar ni tofauti,na kuna tofauti ya kiuzoefu pia.sasa sijajua wamezingatia vigezo gan?
  14. P

    CHADEMA kuanza kudodosha nyaraka za rushwa alizopewa Mtulia

    Hata uwe mjinga vp,huwez kupiga kura Mara mbili kwa mtu yuleyule,bila sababu za msingi.
  15. P

    Huyu hapa Jesca John Magufuli

    Matokeo yenyewe utata mtupu.
  16. P

    Hivi kwanini wanasiasa wa upinzani hupenda kuifitini Serikali kwa raia wake?

    Kuna nn,mpaka usifie.kurudia uchaguz kwa zaid ya billion moja,wakati Shule hazina walimu Wa kutosha Wa sayansi.hospitali hakuna madawa.au tusifie wanaosema tunabana matumiz.
  17. P

    Mishahara ya SUMATRA kufuru

    Kuna ndugu yangu yupo mizani,shahara wake alioanza nao ni 1.5 milion
  18. P

    Elimu ya Tanzania ni kufaulu mitihani na SIO uelewa

    Yaan hapa,kuwaweka hawa katika chungu kimoja,ni sawa na kuweka mlima Kilimanjaro na kichuguu,harafu unauliza nan mrefu.Angalia watu wana PhD,lakin kiingereza kinasumbua.
Back
Top Bottom