Search results

  1. Myfancyface

    Ukweli ni kwamba bodaboda ana fursa na anamzidi kipato Mwalimu

    Sijui ni walimu gani waliokuzunguka. Kuna walimu wanapokea mil 2.5 kwa mwezi.
  2. Myfancyface

    Mwanafunzi ajiua kwa Bastola, aacha ujumbe mwili wake uchomwe moto

    Kwa hiyo wote waliopo US wanampunga? Baba yake alifariki…
  3. Myfancyface

    Amenipa mdogo wake

    UKIMWI bado Upo.
  4. Myfancyface

    Bank ya NMB tawi la Mbezi Beach ina shida gani?

    Fanya tu Sim banking. Transfer fee haifiki hicho kiasi ulichopoteza.
  5. Myfancyface

    Nyanda za Juu Kusini rasmi imeibwaga Kanda ya Ziwa kiuchumi na kifursa, watafutaji shitukeni

    Mbeya ina Wakinga hao Wasukuma wa kuchangamsha hawapo. Mada iko wazi, Nyanda za juu kuna fursa kuliko Kanda ya Ziwa
  6. Myfancyface

    Tanga: Wanawake walalamika kunyonywa maziwa na wanaume, watoto hawashibi

    Kuna mwanaume mwenzetu alikuwa anamzalisha mke wake kila mwaka[emoji18]. Iligundulika alikuwa anapenda kunyonya maziwa ya mke wake.
  7. Myfancyface

    Tanga: Wanawake walalamika kunyonywa maziwa na wanaume, watoto hawashibi

    Wengine mtoto ananyonya la kushoto yeye anachukua la kulia. Yale maziwa kwa hisia zangu yanahitaji moyo mgumu sana kuyanyonya.
  8. Myfancyface

    Watu wa Mbeya huwezi kuwaambia chochote kuhusu Sauli yao

    Mimi sio Mluguru ila sipandi gari lolote zaidi ya Abood. BM alijaribu lakini naona amezidiwa.
  9. Myfancyface

    Wakati umepigika kazi gani ya ajabu uliwaza kufanya?

    Nilichinja kuku na kuwanyonyoa mwenyewe na kubeba ndoo moja kichwani na nyingine mkononi. Nikakatiza Jangwani hapo(nyumba zilikuwepo kipindi hicho) kutoka Moscow kwenda Kkoo kwenye mabucha kuuza hao kuku. Sikuweza kula kuku kwa miezi kadhaa. Namshukuru Mungu niko hapa leo.
  10. Myfancyface

    Ukiingia kwenye NMB Mobile inakwambia salio halitoshi

    Sio kweli. Inahitaji bundle la internet sio hicho ulichosema.
  11. Myfancyface

    Huwezi kuwa na iPhone 13 ukazuga unapiga simu isipokelewe, hiyo itakuwa copy

    Kama huu uzi ni wa mtoto wa kiume utanisikitisha sana. Maisha ya watu yanakuhusu nini[emoji856]?
  12. Myfancyface

    Sherehe za Nane Nane mkoani Mbeya ni zaidi ya Krismasi, Pasaka na Eid zote

    Mbeya, Njombe. Rukwa na Ruvuma zimekuwa zikiitwa Big Four kwa uzalishaji wa mazao kama mahindi, mpunga, ndizi, viazi, parachichi.
  13. Myfancyface

    Tuliyaishi haya zamani yetu, sasa yamebaki kumbukumbu ya kuvutia kama si kuchekesha

    Ni Khadija Kopa na Chombo cha Diamond kwa sasa.
  14. Myfancyface

    Nyakati za kukumbuka, nyakati za kusahau!

    Yaani kama uliniandikia mimi. [emoji1488]
  15. Myfancyface

    Nakataa kuhusu uume mdogo a.k.a kibamia

    Hili swala ni serious jamani. Binamu yangu kakutana na kaka mmoja mtanashati, ana hela na ana nidhamu sana. Sisi kama familia tukampenda. Dada bina wiki chache zilizopita katuambia anaachana na jamaa. Hatukumuelewa. Nilimdodosa mpaka akaniambia. Jamaa ni kama hana hiyo naniliu. Si bamia tu ni...
  16. Myfancyface

    Wale wenye GPA kuanzia 2.1 mpaka 3.4 tukutane hapa tuyajenge hapa

    Inategemea uko wapi. Kwenye elimu ni lazima GPA iwe kubwa. Sio una GPA kama kiatu cha mtoto ufundishe chuo.
Back
Top Bottom