Nimejaribu kufanya installation ya Tv na aking'amuzi cha Star Times outdoor antenna, channel zinaoneka zikiwa in black and white, na haitoi sauti. Tatizo linaweza kuwa wapi ?
Habari za weekend wakuu..
Mi mgeni wa Technologia, naomba mnisaidie tofauti kati ya Smart Tv Flatt Screen na LED Tv, na ipi unge recommend mtu kununua kwa matumiz ya familia
Habarin wana jamvi, najitokeza kupata kutafuta idea, ushauri wa wapi nitaweza kusikiliza kipindi cha redio cha BBC swahili ambacho kinaruka saa kumi na mbili jioni...
Habarin za leo wanajukwaa.
Najitokeza hapa nikiwa na nia ya dhati kabisa ya kutafuta mchumba, ambaye tutakua nae kwenye mahusiano na hatimae kuoana na kutengeneza familia yetu.
Nina umri wa miaka 26, naish Dar, elimu yangu ni Degree moja, nimuajiliwa serikalini. Natafuta mchumba wa kike mwenye...
Safi sana mkuu, Muombe Mungu, atakupa Mke mwema, iwe kutoka hapa JF, au Mtaani kwako, au kazini kwako, au kwenye any social network. Binafsi Nakutakia kila lililo heri
Ni matumaini yangu kuwa mu wazima.
Kwa Mara ya kwanza najitokeza kuandika Uzi huu special kwaajili ya kumtafuta msaidizi/mke/mchumba aliyeandaliwa kwaajili yangu.
Mimi ni kijana wa miaka 26, nipo Mwanza. Dini yangu mkristo na nina mcha Mungu. Elimu yangu ni ya Chuo, na ni mwajiriwa.
Natafuta...
Ni vizuri umetuamsha, japo baadhi ya wadada pamoja na kuingia geto mnaanza ooh tusubiri hadi ndoa, Mara ooh nataka niondoke tu... Sababu hata hazina mbele wala nyuma. Nanyi mkiwa mnawashwa, basis msiwe wabishi sana coz kila mmoja anae enjoy hii kitu, sio mwanaume tu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.