Kuna haki, na vibali vya sekta binafsi kutoa huduma na vinadhibitiwa na mamlaka za serikali.
Iwe usafiri,afya,ulinzi,maji,umeme etc zote zinahusu WATU.
Afya za watu.
Ulinzi wa watu.
Mali za watu.
Uhai wa watu.
Sio kila mtu anaweza kufanya biashara,na sio kila mtu ana muda wa kufanya biashara.
Pia,sio kila mtu anaweza kupata ajira, sio kila mtu anakopesheka.
Upepo wako ulipo ndilo chaguo utakaloamua kufanya.
Huwezi kufanya kila kitu na huwezi kuwa na kila kitu.
Ova!
Mimi yalishanikuta.........usiombe yakukute!
Kwenye procedure ya pili--kupump--nadhani brake master ilikuwa inafanya kazi upande mmoja--gari ikageuka.
Ni swala la sekunde mbili tu,gari iko miguu juu.Ni muhimu sana kuangalia mfumo wa brake mara kwa mara.
Ni Mungu tu!
Ndio ukweli hazijatumika Tanzania--hivyo vifaa vyake bado ni original--Tanzania spare za kuunga unga ni nyingi--na hazina uhakika.
Used in Tanzania ni presha za kujitafutia kabisa.
Habari,
Ninauza hizi tractor mbili. Zote ni 2WD. Mtumba kutoka Uholanzi bila jembe/trailer.
MF135-46Horsepower
MF158-63 Horsepower
Zimesajiliwa na kila kitu kinafanya kazi vizuri kabisa(Engine za Mbuni-Diff Kubwa, PTO, drawbar na zina connection za hydraulics).
Hazijatumika Tanzania.
Bei MF135...
Boss,Nimezitafuta sana pia bila mafanikio.
Nina drawing nimepata na ninategemea kwenda kwa fabricator anitengenezee.
Kama una mtu Malawi--naweza kukupa contact ya mahali pa kununua(Blantyre)
My Take
South Africa:Gari za SA nyingi zimetengenezwa kwenye plant zao wenyewe,na hivyo hata ukipata gari used bado ipo kwenye hali njema.Gari nyingi za SA pia ni full option--kwa mfano hilux ya SA na ya Japan,ya SA ina manjonjo zaidi inakuwa na auto windows,alloy rims,na nyingi turbo huwa ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.