Hilo halitakuwa suluhisho wala jibu la matatizo ya nchi hii tena pengine kwa kutokupiga kura ukakuta unaongeza matatizo. Nakushauri kama hili limekushinda jaribu jingine. Never surrender to difficulties.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwenye "HOLLY BIBLE" kuna Mfalme mmoja alipewa fursa na Mola wake aombe chochote naye ANGEPEWA. Basi Mfalme Suleyman kwa kuwa alikuwa mcha MUNGU ROHO wa BWANA MUNGU akamjia akamwambia mwombe Hekima na Maarifa na moyo wa Adili kusudi uweze kuwaongoza na kuwahukumu wana wa Israeli kwa haki. Naye...
Kama tunasubiri muda ufike kamwe haufiki leo wala kesho na utakapofika kama unavyoomba mama yangu mzazi Tanzania itakuwa imebaki hoi bin taabani. KAMA hii miaka mitatu tuko hivi hiyo tusiyoijua itafika lini itakuwa je?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kabla ya Lisu ushoga umekuwepo dunani (kumbuka sodoma na gomora) pia hapa Tanzania (kumbuka akina faruku na kitwana). Leo yupo Amber rutty na delicious. Lumumba mmeng'ang'ania ushoga ushoga Lisu anahusika vipi ? Mbona Dr Maiga hamkumuuliza alipowajubu waźungu.?Ushoga hamuhitaji ila fedha za...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.