Sina uhakika kwa undani zaidi. habari nilizosikia ni kwamba Kanisa Katoliki inafanya managementa, ajira ya watumishi inatoka serikalini. Wenye ufahamu zaidi!
Hali inasikitisha katika hospitali ya Rufaa Bugando. Watanzania tunatarajia nini kutoka serikali yetu kama watumishi kuanzia wa ngazi ya chini hadi madaktari mabingwa wanapakimbia kutokana na maslahi duni pamoja na vitendea kazi.
Ni takribani mwaka hospitali hii ambayo watanzania wa lake...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.