Habarini za masiku mengi ndugu zangu, naombeni aliyefanya kazi kwenye iyo industry ya INFORMATION SYSTEM AUDIT na ambaye amekuwa certified na iyo industry aje PM anisaidie kimawazo/ ki ushauri.
Asanteni sana ndugu zangu.
Habari za usiku huu ndugu zangu, Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, natafuta kazi serikalini
Elimu yangu ni: Degree ya ICT
Jinsia: Kiume
Umri: 29
Uzoefu kazini: 4 Years.
Uzoefu katika mambo yafuatayo:
1. Penetration Testing (vulnerability, sniffing, exploit & tools and social...
Ndugu wana jamiiforum, naombeni msaada wenu, nasumbuliwa sana na kifua.
Dalili ninazoziskia mpaka muda huu ni hizi hapa:
1. Kwanza nianze kusema sikohoi kabisa, nikimeza mate naskia mkwamo wa kitu kooni, ila nikimeza chakula naskia kawaida (kwenye kumeza chakula sisikii maumivu yeyote)
2...
Habarini ndugu zangu pole na miangaiko ya hapa na pale
Niende kwenye maada moja kwa moja,
Baada ya kuangaika kutafuta ajira pasipo mafanikio yeyote nikaamua kuwatafuta wenzangu takribani 8 tuliosoma pamoja, tukaja na wazo wa kufungua shirika lisilo la kiserikali, baada ya kukubaliana kwa...
I hope all is well! Thank you so much for all the leads and advice you have sent me so far as I look for a new CYBER SECURITY job
I just wanted to let you all know I am still looking for a job opportunity (eithet parmanet, volunteering, or internship opportunity )
so if you hear of any open...
Habarini wana jamvi
Kuna ubaya wowote kuandikisha au kujitambulisha sehemu kwa kabila la mama ukiachana na la baba (namaanisha la baba ukalitupilia mbali)
Karibuni kwa mitazamo!!
MSAADA MSAADA MSAADA MSAADA
Habari za muda huu kwa mara nyingine tena
Natafuta kazi ndugu zangu watanzania wenzangu
Ata kama uta-nidalalia iyo kazi tutaelewana malipo ndugu yangu
naombeni msaada wenu mwenye kuweza kunisaidia, maana nimeshaangaika sana kutafuta kazi ila naambulia patupu...
Habarini za muda huu ndugu zangu wana JF
Kuna mtu week iliyopita alinidokeza kuwa pale Zantel naweza pata kazi ya kujitolea kwa muda
Nilienda pale na mlinzi akiitaji nimuachie document zangu (cv) yeye pasipo kupata nafasi ya kuziwasilisha mwenyewe kwa wausika
Sikuwa na uhakika kama...
MSAADA MSAADA MSAADA MSAADA
Habari za muda huu kwa mara nyingine tena
Natafuta kazi ndugu zangu watanzania wenzangu
Ata kama uta-nidalalia iyo kazi tutaelewana malipo ndugu yangu
naombeni msaada wenu mwenye kuweza kunisaidia, maana nimeshaangaika sana kutafuta kazi ila naambulia patupu...
Habari za muda huu kwa mara nyingine tena! Natafuta kazi ndugu zangu Watanzania wenzangu
Ata kama uta-nidalalia iyo kazi tutaelewana malipo ndugu yangu
Naombeni msaada wenu mwenye kuweza kunisaidia, maana nimeshaangaika sana kutafuta kazi ila naambulia patupu
Nimezunguka sana kwenye viwanda...
MSAADA MSAADA MSAADA MSAADA
Natafuta kazi ndugu zangu watanzania wenzangu
Ata kama uta-nidalalia iyo kazi tutaelewana malipo ndugu yangu
naombeni msaada wenu mwenye kuweza kunisaidia, maana nimeshaangaika sana kutafuta kazi ila naambulia patupu
Nimezunguka sana kwenye viwanda mbalimbali hapa...
Msaada msaada msaada msaada
Natafuta kazi ndugu zangu watanzania wenzangu
Ata kama uta-nidalalia iyo kazi tutaelewana malipo ndugu yangu
Naombeni msaada wenu mwenye kuweza kunisaidia, maana nimeshaangaika sana kutafuta kazi ila naambulia patupu
Nimezunguka sana kwenye viwanda mbalimbali...
Nililetaga nyuzi yangu mwaka jana ilisomeka ivi
[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
Habarini za jioni, poleni na miangaiko ya hapa na pale kuakikisha tunajenga familia na nchi kwa ujumla...
Kwa wale wanaouguza na kuugua nawapa pole na nawaombea kwa muumba mbingu na nchi...
Habarini ndugu zangu wana jamiiforum, poleni na miangaiko ya kila siku kuakikisha tunajenga Tanzania mpya.
Nielekee kwenye dhumuni la mada:
Kulingana na changamoto za kukosa ajira, kukosa mtaji na kutokuwa na chochote kile katika maisha yangu,
Nimefikilia kutoa msaada wa kutengeneza bure...
Habari za muda huu waungawa, poleni na majukumu ya hapa na pale.
Kwa wale wagonjwa mungu awatie nguvu mpone na mrejee kwenye majukumu yenu ya kila siku
Niende moja kwa moja kwenye mada:
Nimeangaika sana kutafuta ajira, nimetoa kilio changu uku jamiiforum, ila kilio changu hakikusikika ila...
Habarini as asubuhi hii ndugu zangu wapendwa,
nimeskia (kudokezewa) kuna tangazo la nafasi za kazi lililotangazwa na chama cha waalimu Tanzania,
Naombeni mwenye ilo tangazo anisaidie, maana nimelitafuta pasipo mafanikio
Asanteni
Sent using Jamii Forums mobile app
Habarini za jioni, poleni na miangaiko ya hapa na pale kuakikisha tunajenga familia na nchi kwa ujumla...
Kwa wale wanaouguza na kuugua nawapa pole na nawaombea kwa muumba mbingu na nchi awaponye nyote na mrejee kwenye hali nzuri ili kuendeleza majukumu yenu
.
.
Niende kwenye maada moja kwa...
Habarini za mchana huu wangwana
Poleni na miangaiko ya hapa na pale, ya kuhakikisha tunajenga familia zetu vyema na taifa letu la Tanzania kwa ujumla.
Kwa wale wagonjwa/wanaouguza poleni sana na mwenyezi mungu mwigi la lekhema awape nguvu mpya na kuwaponya kabisa ili mrejee kwenye majukumu...
Naombeni msaada wenu kwenye ku-appload certificate, kuna mtu amenieleza kuwa lazima ufate atua izi
1. Unatoa copy certificate zote
2.unapeleka copy kwa mwanasheria, anazisaini na ķugonga muhuri
3.kisha unascan izo copy zilizosainiwa na kugongwa muhuri
4. Kisha ndio unazi apload kwenye system ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.