Habarini za masiku mengi ndugu zangu, naombeni aliyefanya kazi kwenye iyo industry ya INFORMATION SYSTEM AUDIT na ambaye amekuwa certified na iyo industry aje PM anisaidie kimawazo/ ki ushauri.
Asanteni sana ndugu zangu.
mimi natafakari huo umri wa miaka 25 anamiliki mali zaidi ya milion mia mbili wakati mimi nimepanga chumba kimoja na nina miaka 30"s na sijui kesho yangu ni ipi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.