Haya Enyi wavivu wakufikiri naomba niwaache naendelea na kazi sasa nilibahatika kupata short break. Wasalimie wote samahani kama kuna eneo nilitumia lugha kali ni kwasababu nanyi mnahudhi sana. Lkn mwisho wa siku Qnet IR wanaprove watu wrong and I should be sincere to admit that I once was one...
Tafakari maana ya maneno haya:
1.Mjinga ni MTU asiye jua jambo na hajui kama hajui.
2.Mpumbavu ni MTU hasiyejua jambo lkn anajifanya kwamba anajua.
3. Mshenzi ni MTU anayejua jambo lkn anajifanya hajui.
Wewe unajua nini kuhusu Qnet?. Mm ninaijua vyema hivyo sijawa mshenzi. Nimetumia muda...
Kwahiyo kwako kuajiriwa mgodini ndo unaona MTU hawezi kuacha akachukua fursa ya Q net. I see ure so innocent. Elewa biashara ndo ombi langu kubwa. Siku moja utageuka nyuma na kudharau kila kitu ulichokuwa unahangaika nacho awali.
Mwisho: mm nimewajibu kama mm binafsi siyo kampuni. Kwa taratibu zao hawana muda wa kupoteza. Wanaamini kizuri chajiuza. Endelea kupost mambo yasiyonatafiti muda unaenda mnaendelea kuzeeka
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.