Ni nini inaweza kuwa sababu ya mtoto wa miezi 9 kuwa na miguu dhaifu? Yaani hataki kabisa kukanyagia miguu. Ukimsimamisha anajikunja, ukiforce anakaa. Jinsia ni Me.
Natanguliza shukurani
Huwa ninashangaa tu, watu wanavyoteseka kuchangisha michango ya harusi. Nowdays ukisema unaoa ni full stress. Bwana harusi stress, wazazi stress, marafiki stress, nk. Hii inatokana na mentality waliyo nayo watu wengi kwamba, harusi inahitaji mamilioni ili ifanikiwe. Yaani ukisema harusi watu...
Kuabstain ndo njia pekee salama ya kujiepusha na UKIMWI na virusi vyake, pamoja na magonjwa mengine. Ewe kijana wa kike na wa kiume ambaye hujaoa au kuolewa; majuto ni mjukuu. Usicheze na maisha, jitahidi kuwa na subra.
Na ninyi mlio ndoani hebu tulizaneni huko! Muogopeni Mungu.
Pasaka Njema.
Miaka mitano iliyopita nikiwa chuo nilimpenda binti fulani. Nilimweleza azma yangu ya kutaka kumwoa baada ya sisi kuhitimu. But akakataa. Siyo kukataa kwa kawaida, two years ninastruggle kwake but nilichoambulia ni block za social media, dharau, kejeli, eti kwamba mimi siyo wa hadhi yake...
Yeah,
Ni Tanzania pekee vijana lukuki wenye sifa hawana ajira lakini bado serikali inasita kuwatimua wageni ambao hawana vibali vya kuishi na kufanya kazi nchini.
Just imagine number ya walimu ambao hawana ajira, then angalia namba ya Walimu wageni. Hapo hujagusa sekta ya utalii na kwingineko...
(TPTU) YAWAFUTA MACHOZI WALIMU WA SHULE YA SEKONDARI ATLAS:
(Na Ngeni Mashamba).
Ule usemi usemao kuwa "uchungu wa mwana aujuae mzazi" ulithibitika tarehe 26 Septemba mwaka huu baada ya chama cha walimu wafundishao shule za watu binafsi Tanzania(TPTU) kulazimika kufanya juhudi za makusudi na...
Wakuu habari,
Mimi ni mwanaume mwenye umri wa miaka 26 sasa. Sijashiriki ngono tangu nijitambue (nikue). Ninakumbuka mara ya mwisho kufanya hivyo nilikuwa na umri wa miaka 14.
Je, jambo hili linaweza kuathiri uwezo wangu wa kumridhisha mwenzangu hapo baadaye? Coz ninaamini katika kusubiri...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.