Hajapoteza Ubunge wake. Mbunge atapoteza nafasi yake akifungwa zaidi ya miezi sita. Kwa hiyo huyu Mbunge hapotezi Ubunge wake kama kifungo ni cha miezi sita. Pia anatakiwa akate rufaa ndani ya siku 30 kuanzia hukumu ilipotolewa leo hii
Kwani hata usipopiga kura wewe kwani ndio unaweza kuwashawishi wengine kura?. Kwani hata hivi sasa kuna mabadiliko gani ya maana?sanasana MATAMKO YA MWENDOKASI ndio yameongezeka!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.