Habari Wana jukwaa wazee wa kutoa password na connection naomba kuuliza Kwa hapa dar es salaam ni sehem Gani wanauza balo za mtumba Canada na Dubai
Na Lebo Gani ya balo za china inatoa nguo nzuri
Whatapp 0657710078
Habari mimi ni mfanyabiashara mdogo wa nguo za mtumba hapa Dar es Salaam nilikuwa nataka kuongeza wigo wa wateja kwenda minadani kuuza biashara.
Nilikuwa naomba kujua ratiba mbalimbali za minada kwa hapa Dar na utaratibu wa kuuza biashara mnadani
Msaada wenu tafadhali napatikana Mtongani
Inasikitisha sana Kwa mkoa wa Dar es Salaam na Wilaya zake kusambaa magenge ya utapeli na wananchi kuibiwa na Hawa matapeli wanaounda vikundi vyao maeneo ya mkusanyiko wa watu wengi kama Kariakoo, Ilala, Mbezi Mwisho na Mbagala kisha kuwahadaa Wananchi Kwa michezo ya kamali na mwisho wao...
JE UNAUJUA MTUMBA WA KUTOKA CHINA ?🤷♂️ HIVI UNA HABARI YA KWAMBA MIZIGO YA CHINA INAUZIKA SANA KWA SPEED KUBWA KULIKO MINGINE ? 🤦🏻♂️ UNAJUA KWA NINI ? 😎UNAJUA BEI ZAKE ? 😋
-
▪️SABABU YA KWANZA NI BEI ✅ BALO KUTOKA CHINA GRADE A NDIO BEI RAHISI ZAIDI KULIKO GRADE A ZA KUTOKA NCHI ZINGINE 😁...
Kàribuni sana suruali za watoto mtumba grade 1
Jumla 3000
Rejareja 4000
Umri miaka 3 mpk 10
Whatapp 0657710078
Tunapatikana Temeke Dar es Salaam
Mkoani tunafanya delivery
Karibuni sana beichee outfit tunauza nguo za watoto wa kike na kiume jipatie gauni za watoto Kwa Bei chee jumla na rejareja
Jumla 5000 kuanzia 5
Rejareja 7000
Mawasiliano 0657710078
Tunapatikana temeke dar es salaam
Mkoani tunafanya delivery
Karibuni sana Bei chee tunauza balo za mtumba grade 1 ukitaka nguo za kupoint zipo
Tuna balo za nguo aina zote
Gauni za kike
Suruali za kike
Mabwanga
Skin and boyfriend jeans
Mashati
T-shirt
Cargo jeans.
Cardet
Na nyinginezo nyingi
Tunapatikana mtongani temeke dar es salaam
Mawasiliano...
Habari zenu Wana jukwaa la JamiiForums
Kwanza napenda kuipongeza serikali kusimamia utekerezaji wa ujenzi wa bwawa hili kubwa nchini la kufua umeme na kutoa fursa za ajira Kwa vijana wengi wa kitanzania
Lakini mradi unapoelekea kumalizika kumetokea tatizo kubwa sana la urasimu upande kupata...
Kwema wana JF
Naitwa Titus
Mkazi wa Dar es Salaam
Nimekuja kwenu wanajukwaa shida yangu ni kazi hususani vibarua day work.
Nina uzoefu wa kutosha kwenye site za ujenzi nimefanya Kazi ubungo flyover Salenda bridge
Kama unakazi yako ya ujenzi wa nyumba au Kazi yoyote usisite kunipa kibarua
Au...
Habari Watanzania wenzangu.
Naitwa Titus mkazi wa Tegeta
Umri miaka 26
Uzoefu wa kazi miaka4
Nahitaji msaada wa connection ya kazi yoyote halali iwe manual au soft
Nina uzoefu katika nyanja zifuatazo:
Ujenzi
Madukani
Store keeper
Supervisor
Napatikana DSM
Mawasiliano: 0657710078
kwema wana jf
Nimekuja kwenu nahitaji kazi za ujenzi
Na uzoefu wa miaka 3 katika site za ujenzi miradi mikubwa na ya kati
Ujuzi wangu ni fundi chuma steel fixer
Fundi au engineer Yeyote mwenye site niko tayari kuwa msaidizi wake
Napatikana dar es salaam
Contact 0745000157
jina titus
Umri 27
elim advance secondary level
Uzoefu wa kazi miaka
uzoefu Katina nyanja
Mtunza vifaa
Mtunza fedha
msimamizi mradi
Mtunza kumbukumbu
wanajukwaa naombeni Msaada wenu wa kazi nimezunguka sana kutafuta kazi lakini sijafanikiwa na hapa nilipo nimefukuzwa kwenye nyumba sina kodi...
jina titus
Umri 27
elim advance secondary level
Uzoefu wa kazi miaka
uzoefu Katina nyanja
Mtunza vifaa
Mtunza fedha
msimamizi mradi
Mtunza kumbukumbu
wanajukwaa naombeni Msaada wenu wa kazi nimezunguka sana kutafuta kazi lakini sijafanikiwa na hapa nilipo nimefukuzwa kwenye nyumba sina kodi...
Je unajua tank lako la kuhifadhi maji safi na salama kwa matumizi mbali mbali linabidi kusafishwa kila baada ya mwezi
Kwa sababu pindi unapohifadhi maji mda mrefu bila kulisafisha tank huifadhi tope na wakati mengine magugu huota
Karibuni Trinity cleaner tunatoa huduma ya kusafisha matank ya...
Karibuni vunja Bei kariakoo online wauzaji wa nguo za kiume pamoja na viatu
Utapata jeans kardet vest T-shirt shirt kwa Bei pouwa
Njoo WhatsApp 0657710078
Jina: Titus
Mkazi: Tegeta DSM
Umri: 26
Elimu: kidato cha sita
Kwema wana jukwaa nimekuja mbele zenu kijana wenu sina kazi kwa sasa baada na kuathiriwa na zoezi la kuhamisha wamachinga ambapo nilikuwa nauza bidhaa za mtu na kujilipa hapo hapo na uzoefu na kazi zifuatazo:
Store keeper
Sales...
Wanajukwaa msaada,
Nimekuja mbele yenu natafuta kazi Mahala popote nifanye kujikizi na Hali ngumu ya maisha. Baada ya kubomolewa banda langu LA umachinga lililokuwa mwenge nikijihusisha na kuuza mitumba ya kike kwa Sasa niko nyumbani.
Na uzoefu na kazi zifuatazo
Store keeper
Cashier...
Nauza vitabu ya course ya udaktari
Kwa wale wanafunzi wa medical doctor
Vitabu hivi vitawapa sana madini
Niko dar es salaam
Contact 0657710078
Bei maelewano
Kwema wana jf taifa kubwa
Naitwa makolelo
Mkazi wa dar
Elimu diploma
Uzoefu
Store keeper kampuni ya jiangxi Mwaka mmoja
Shop manager fashion shop
Revenue collector municipal
Cashier
Site foremen supervising 10 labour
Natafuta kazi yoyote ya kuingiza riziki na nimuuguze mama angu Kitu hiki...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.