Uthubutu wako tu ndugu yangu, kidogo ulichonacho, kikitosha kulipa pango miez 5kuendelea na pesa ya mzigo hata robo ya malengo, mbona unaliamsha dude mambo yatasonga tu ukitanguliza nidhamu ya biashara plus pesa.
Sent from my TECNO W4 using JamiiForums mobile app
Aise Tunduma kupo Poa sana, nimeenda kutembea ijumaa na jumamosi, kwanza kuna biashara ya nguo, bei chee,na bidhaa nyingine kwa bei rahisi nadhan ni kwa sababu ya mwingiliano wa watz, wazanbiano, na wakongoman,
Sent from my TECNO W4 using JamiiForums mobile app
Tanesco natangulisha pongezi kwenu kwa kutufikia, Mimi nipo Iringa DC, naomba makadilio ya kuwekewa umeme.
Umbali wa nguzo ya mwisho mpaka kwangu ni metre 250. Je makisio itakuwa nguzo ngapi na ni bei gan.
Adobeshop inauwezo wa kuedit picture kama kutoa chunusi na kadhalika hebu mkuu tuma hats picture ya tool kwenye menu nione demo, napenda sana hii kitu na ni ndoto yangu kuwa na office ya hii. Safi mleta Uzi nakupa five star
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.