Habari Chief, nina tigo Postpaid ya 30gb per 25k lakini naona bado haitoshi kwa matumizi, nafikiria nihamie Ttcl adsl kwa 25k
Je kwenye ADSL naweza shusha 100gb kwa mwezi Au nibaki tuu na hii TG postpaid?
Uzuri wa Post Paid mkataba wake ni 2 years kama wachezaji wa Ligi Kuu NBC...
Hapo nishafanya Fujo zote za Duniani afu Natakiwa nizimalize hizo 11gb ndani ya siku 3
Mkuu hivi hii custom pc nikitoa hii Geforce 9800GTX na kuweka GPU kubwa, ntavimba nayo kwa miaka mingapi mbele [emoji1]
I7 3770
PSU 750W
Au ndo nianze kutafuta MOBO za gen ya 8 na kuendelea?
Habari Chief? Hivi kuna Tofauti gani kati ya i7 3770 {2012} na i3 12100f {2021} maana zote zina cores 4 na thread 8...
Huku i7 ikiwa na integrated gpu {HD 4000} na hiyo i3 haina ??
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.