Kuishi ni kujifunza na chini ya CCM binafsi najifunza Kwa njia ngumu.
Hivi Kwa nini CCM na serikali yenu mnawaona Watanzania wanaowapigia Kura ni mazoba kiasi cha kuwadanganya hata Kwa Mambo yaliyo Wazi?
Siku hizi Serikali imewaelekeza TANESCO kukiwa na mgao wa Umeme itoe matangazo...
Braza,
Wewe ni mchezaji mkubwa.
Wewe ni Maestro. Lakini bàadhi ya vitendo unavyofanya uwanjani haviendani na ukubwa wako. Kitendo ulichofanya Jana dhidi ya Kibabage si cha kiungwana, si cha kiuanamichezo.
Kwa makusudi ulihatarisha Afya ya mchezaji mwenzako ukijua soka ndo ajira yake kubwa...
Huu ni mpira,
Hii ni soka,
Hii ni Derby.
Mbona hamjawahi kuwakamata wanaosema "timu yangu ikifungwa mnikate kichwa?
Maneno makali,
Maneno ya kukera,
Ndio Utamu wa derby.
PIA SOMA
- Polisi wamkamata GB 64 akidaiwa kuhamasisha Watu kufanya vurugu mechi ya Yanga Vs Simba
Kiongozi wa jeshi la Polisi ngazi ya mkoa anaitwa Kamanda wa Polisi mkoa (Regional Police commander). Huyu naambiwa mpaka ana mamlaka ya kufukuza kazi bàadhi ya Askari Mkoani kwake na asihojiwe.
Lakini juzi tumesikia Kiongozi wa umoja wa Vijana (UVCCM) Mkoa wa Kagera Bw. Burhan akitoa amri Kwa...
April 12, 1984 Nilikuwa na umri wa miaka zaidi ya 10. Nalikumbuka vizuri tangazo la Mwalimu akitutangazia kifo cha Waziri Mkuu aliyepata kupendwa zaidi na Watanganyika Tangu Uhuru Edward Moringe Sokoine.
Kilichosababisha kupendwa kwake ni jinsi alivyowajali watu wa Hali zote na kuhakikisha wote...
Kauli ya Rais na Mwenyekiti wa CCM Mh Samia Suluhu Hassan imesadifu hivyo.
Ukiichambua Uhalisia wake neno "kukichemsha" halikumaanisha kuchangamsha bali kutifuana. Makonda alileta mtifuano ndani ya CCM kama Maharage yanayochemka ndani ya chungu kikuukuu.
Kauli hii imefafanuliwa vizuri na...
Kila kitu kina uwezo wa kutanuka na kuenea àmbao Una kikomo. Kikomo hicho kinaweza kuwa cha asili au cha kusababishwa ndani au nje au kitu chenyewe.
Kwa matendo ya ubinafsi ya viongozi wa serikali ya CCM àmbao mara nyingine wanatumika pia kama watendaji wa CCM Wananchi wameshashindwa...
Nimelisikia hili likilalamikiwa na ACT WAZALENDO maeneo mbali mbali kulikofanyika Uchaguzi mdogo wa udiwani Jana March 20, 2024. Nimesikia Kata ya Kasingirima Kigoma, imesemwa Kwa uwazi Kata ya Chipuputa Mtwara, limejitokeza dhahiri Kata ya Kabwe Nkasi mkoa wa Rukwa ambako DC Peter Lijualikali...
Hii ndo kauli rasmi ya serikali yetu tukufu kuelekea Mechi za robo fainali CAFCL ili kuzivusha Simba na Yanga zitakapokutana na Ahly na Mamelody uwanja wa Mkapa March 29&30, 2024. Hongera serikali Kwa tamko hili lenye suluhu na uzalendo.
Niko Rukwa kwa kazi zangu za uandishi wa habari za mazingira siku 5 Sasa. Hapa naongea toka kijiji cha Kabwe wilaya ya Nkasi.
Hapa Niko Jimbo la Nkasi kaskazini Kwa Mbunge pekee wa kuchaguliwa wa Chama cha demokrasia na maendeleo mh. AIDA KENANI. Nina Jambo nimelishudia Sumbawanga mjini juzi...
Tujitahidi kusoma vitabu na kuelewa dhumuni là fungà na futru. Tunaweza kuwadanganyà binadamu lakini kamwe Mungu hadanganyiki. Zaidi tunachofanyà ni dhihàka kwake.
Tunaalika watu wa mlengo fulani (ubaguzi) lakini kikubwa zaidi tunaalika watu waliokula Milo 3 mchana na bado wanatutangazia...
Ahly hawawezi kuja kucheza hapa hata Mechi ya kirafiki. Mamelody wasingeweza kuja hapa hata kwenye tamasha la Wananchi maana wamejaribu mwaka jana lakini ilishindikana.
Lakini uwezo wa Simba na Yanga kuingia Robo fainali umeaalazimisha kuja Tanzania na tutawaona tena. Siwezi kuacha kusifu timu...
Wiki hii imeshuhidia watu wawili wanaopaswa kuheshimika kwani ni Wabunge wakitoa maoni yanayopaswa kutolewa na Mjukuu wa mhusika anayesoma chekechea.
1. Wa Kwanza kupiga Boko alikuwa Mbunge wa viti maalum CCM Ng'wasi Kamani. Bila kujali Watanzania wanapitia magumu yapi kimaisha akapendekeza Kwa...
Ulianza vizuri mbio zako baada ya kupokea kijiti Kwa bahati ya Mungu. Watu wa Pwani tunasema ulianza na mguu mzuri baada ya kuchagua uelekeo tofauti na mtangulizi wako kuhusu demokrasia na mahusiano ya ndani na nje.
Uliwafanya wengi wakuamini na kukupenda ghafla Kwa vile siasa za mtangulizi...
Naamini waaamuzi na waamuzi wasaidizi wa Tanzania mnaangalia AFCON Kwa lengo la kujifunza. Mechi mbili za Leo yaani Senegal vs Gambia na Cameroon Vs Guinea zimewapa funzo adhabu gani anapaswa kupewa mchezaji anayehatarisha usalama wa mwenzake Kwa kucheza madhambi bila tahadhari.
Mechi moja makosa mawili yanyofanana na moja likizaa goli.
Umesifiwa siku mbili, lakini haikukusaidia kubadilika.
Makosa kama haya hayawezi hayavumiliki.
Waliosema Manula atafute timu Leo wamemuona Lakred halisi.
Waziri Mchengerwa na Ummy Mwalimu wamekuwa hodari wa kusimamisha na kufukuza kazi watumishi wadogo hata Kwa makosa ambayo ni dhahiri yamesababishwa na Sera au maagizo ngazi ya wizara. Lakini wao hawataki kuwajibika. Wamemuondoa kwenye nafasi Mganga Mkuu Kagera kwa kile kilichotajwa ni kuzidi...
Leo itakuwa mara ya mwisho kutumia mtandao wenu. Najua mna wateja wengi lakini Mimi Acha nipungue. Jana nimetuma 210,000 ili zimsadie mgonjwa kulipa bill lakini hazikufika na kwangu sikupata msg. Nimepiga simu huduma Kwa wateja naambiwa fedha itarudishwa kwangu ndani ya masaa 48. Kuna haja gani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.