Ni muda mrefu sasa umepita mtangazaji mahiri ITV hajaonekana hewani.
Naomba kufahamishwa yupo wapi kipindi chake cha Dk 45 ITV Jumatatu hakiwi kama ilivyo ada.
Ni muda mrefu sasa umepita mtangazaji mahiri ITV hajaonekana hewani naomba kufahamishwa yupo wapi kipindi chake cha dk 45 ITV jumatatu hakiswii kama ilivyo ada
Yaani siku Wakuu wa vyombo vya ulinzi wamebadilishiwa job descriptions, wao kutwa kwenye mauzinduzi hata wa vyoo vya stend, mara barabara nk. I wish i could be igp
Cha ajabu sana kila anapoongea (Magu) anasema "tumtangulize Mungu" sijui ni Mungu yupi huyo anayesema tumtangulize ambaye hataki Tundu Lissu apatiwe huduma ya matibabu na, Serikali kama sheria ya Bunge inavyihitaji???
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.