Search results

  1. U

    'PRESS Conference'...

    Kama clarity hakuna urais atauweza kweli. Anashangaa nini! Ccm ndo zao!kma huna mtaji(rushwa) wa kugombea acha !
  2. U

    Madhara ya kutafuna mchele mbichi/udongo

    Kunyweni bio water natatizo yataisha. Bo water yanapatikanaje inabidi mnitafute. Andikeni email zenu na no za simu tuwasiliane.
  3. U

    Muuza magazeti aliyedaiwa kuuawa maandamano Chadema aibuka

    Isuue mtu kafa basi! Si ndege naye ana thamani
  4. U

    Uhamiaji wanafanya nini? Kumbe Hussein Bashe si Raia!

    Imekuwa kasumba sasa. Oh wakenya wanamaliza kazi zetu. Uraia sasa hivi si kitu cha kutamba nacho. Ukiwa na mshiko unaamua uwe raia wa wapi. Watz tuache ushamba. Mbona wageni wanakula maisha kuliko wenyeji?
  5. U

    Uhamiaji wanafanya nini? Kumbe Hussein Bashe si Raia!

    Acha wivu kwani uraia wako unakusaidia nini? Acha naye ale hata wazawa ni fisi tu. Pengine ana roho nzuri huwezi jua.
  6. U

    Kunuka kikwapa: Fahamu chanzo, tiba na namna ya kuepuka tatizo

    Hiyo ni kazi ndogo nitafute nikuelekeze la kufanya. Nitumie email na smu yako
  7. U

    Mwigulu amvisha mbwa bendera ya CHADEMA

    Mti wenye matunda ndio unarushiwa mawe! Haisaidii. Watz wanaakili wanaona na kusikia!
  8. U

    Serikali sasa ijifunze toka Tigo kwa wanaovujisha siri zake nje

    Moja tunataka toka kwako je wamwsema ukweli? Kama ni kweli basi ni kawaida ukisema ukweli utakuwa kama yesu. Hao vijana wa tigo wamenipa raha sanaaaaaaaaaaaaaa. Walio kama hao ni wengi ndo maaana kuwafukuza haisaidii. Iko siku hata hiyo tigo itafungiwa
  9. U

    Mkurugenzi wanyamapori afukuzwa kazi

    Na waliowatuma je? Shida ni mfumo! Wataachiwa kama prof mahalu. Wewe ni nani uuze wanyama kama pipi bila kuruhusiwa na wenye nchi? Wasiwaonee wawaache waende zao
  10. U

    Paul Kagame hana hata Diploma, soma historia yake hapa!!

    Kinachomssaidia kagame ni kwamba anakubali kuwa hajui na kutafuta wanaojua wamuelekeze. Hata angesoma vipi asingeweza kujua yote. Pia ana imani fulani moyoni mwake. Jiulize rais wako ana imani gani? Kagame anasema zaidi ya nusu yake ameishi kama mkinbizi. Hivyo basi anipenda nchi yake na hataki...
  11. U

    Dawa na njia mbadala za Kupunguza unene/uzito | Weight Loss techniques and advice

    Kwanza kabisa uwe serious umeamua. Maana inatakiwa discipline ya hali ya juu. Ipo njia kabisa na wako wanene wametumia wakawa na kilo wanazotaka. Andika email yako hapa tuwasiliane
  12. U

    NSSF yaelekea kufilisika

    Nimesoma mpaka nikaogopa. Hata mfuko wa bima ya afya unakopwa ni hatari sana. Hii nchi inaongoza na majambazi. Bora tufute hii mifuko kila mtu apwewe chake kama vibarua
  13. U

    Udini watumika kuizamisha CHADEMA mikoa ya kusini

    kuem ujinga wa watanzania ndio mtaji wa kisiasa. Watanzania tuache kuendekeza ujinga hakuna mahali popote ubaguzi ulileta faida. Hivi huo misiktini wan sera gani ya maendeleo hata kwa hao waislamu wenyewe? Waingie kazini tena washughulikie waislamu tu tuone. Bure kabisa. Watz tuache tabia ya...
  14. U

    Mahojiano Ya Mwandishi Jackton Manyerere Na Wana- Uamsho Zanzibar

    kama walikwpa siku nyingi sasa ni finali. Kwa akili ya jk hili haliwezi kabisa. Jamani urais siyo masiala.k j uijivuta kama ulivyozoea muungano unakufa kama ccm inavyokufia mikononi. Leadership is about taking quick decisions on time. Jk ulitamani sana kuwa rais sasa umeona mwenyewe hii kazi...
  15. U

    Nchemba: CCM haiwategemei walimu

    Hata arumeru alikuwa anatukana. Lakini kama unavyojua arumeru siyo kama igunga waliwaonyesha. Hawa watoto hawana adabu hawajajua hata kunawa watakulaje meza kuu. Jk hivi jamani unashida gani? Kila unayemchagua feki
  16. U

    Darasa la saba aukwaa u-DC

    U dc ni upambe wa kisiasa kwa hiyo la saba inatosha kama vile kuwa shabiki wa simba au yanga
  17. U

    Mwenye CV ya Novatus Makunga atuwekee humu JF tuifahamu...

    Muhimu ni ******: Hapo nepotism imefanya kazi wazee.
  18. U

    CV ya William Lukuvi

    KWA MATOKEO TUNAYOHITAJI CV YAKE INATOSHA KABISA. HATA AGEISHIA LA 7 INATOSHA. HII NCHI WALIOSOMA NA WASIOSOMA WOTE SAWA. mBONA CHAMI AMEBORONGA? LUKUVI KULA MAISHA MWANANGU MATANZANIA HAYA YANACHAPA USINGIZI TU!
  19. U

    Hoja ya Zitto Kabwe dhidi ya Pinda sasa yaimarika!

    PINDA ANAFAA SANA KWA STYLE YA UONGOZI WA JK. Kimpa kama Magufuri hamalizi wiki 1. Pinda anfaa sana maana yeye ni ndiyo mzee. Nageuzwa kama chapati jikoni. Akiweka kichwa kitamtesa
  20. U

    Sitaki kuamini, Dk Chami, alikuwa Tanzania one, mara mbili?!

    Sisi tuliosoma seminary tunasikitishwa kuona ex seminarians hawataki kuifia nchi yao wanashiriki wizi. Chami umetuharibia sifa yetu.
Back
Top Bottom