Imekuwa kasumba sasa. Oh wakenya wanamaliza kazi zetu. Uraia sasa hivi si kitu cha kutamba nacho. Ukiwa na mshiko unaamua uwe raia wa wapi. Watz tuache ushamba. Mbona wageni wanakula maisha kuliko wenyeji?
Moja tunataka toka kwako je wamwsema ukweli? Kama ni kweli basi ni kawaida ukisema ukweli utakuwa kama yesu. Hao vijana wa tigo wamenipa raha sanaaaaaaaaaaaaaa. Walio kama hao ni wengi ndo maaana kuwafukuza haisaidii. Iko siku hata hiyo tigo itafungiwa
Na waliowatuma je? Shida ni mfumo! Wataachiwa kama prof mahalu. Wewe ni nani uuze wanyama kama pipi bila kuruhusiwa na wenye nchi? Wasiwaonee wawaache waende zao
Kinachomssaidia kagame ni kwamba anakubali kuwa hajui na kutafuta wanaojua wamuelekeze. Hata angesoma vipi asingeweza kujua yote. Pia ana imani fulani moyoni mwake. Jiulize rais wako ana imani gani?
Kagame anasema zaidi ya nusu yake ameishi kama mkinbizi. Hivyo basi anipenda nchi yake na hataki...
Kwanza kabisa uwe serious umeamua. Maana inatakiwa discipline ya hali ya juu. Ipo njia kabisa na wako wanene wametumia wakawa na kilo wanazotaka. Andika email yako hapa tuwasiliane
Nimesoma mpaka nikaogopa. Hata mfuko wa bima ya afya unakopwa ni hatari sana. Hii nchi inaongoza na majambazi. Bora tufute hii mifuko kila mtu apwewe chake kama vibarua
kuem
ujinga wa watanzania ndio mtaji wa kisiasa. Watanzania tuache kuendekeza ujinga hakuna mahali popote ubaguzi ulileta faida. Hivi huo misiktini wan sera gani ya maendeleo hata kwa hao waislamu wenyewe? Waingie kazini tena washughulikie waislamu tu tuone. Bure kabisa. Watz tuache tabia ya...
kama walikwpa siku nyingi sasa ni finali. Kwa akili ya jk hili haliwezi kabisa. Jamani urais siyo masiala.k
j uijivuta kama ulivyozoea muungano unakufa kama ccm inavyokufia mikononi. Leadership is about taking quick decisions on time. Jk ulitamani sana kuwa rais sasa umeona mwenyewe hii kazi...
Hata arumeru alikuwa anatukana. Lakini kama unavyojua arumeru siyo kama igunga waliwaonyesha. Hawa watoto hawana adabu hawajajua hata kunawa watakulaje meza kuu. Jk hivi jamani unashida gani? Kila unayemchagua feki
KWA MATOKEO TUNAYOHITAJI CV YAKE INATOSHA KABISA. HATA AGEISHIA LA 7 INATOSHA. HII NCHI WALIOSOMA NA WASIOSOMA WOTE SAWA. mBONA CHAMI AMEBORONGA? LUKUVI KULA MAISHA MWANANGU MATANZANIA HAYA YANACHAPA USINGIZI TU!
PINDA ANAFAA SANA KWA STYLE YA UONGOZI WA JK. Kimpa kama Magufuri hamalizi wiki 1. Pinda anfaa sana maana yeye ni ndiyo mzee. Nageuzwa kama chapati jikoni. Akiweka kichwa kitamtesa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.