Habari wadau ,, naomba niende kwenye mada,, ni siku nne Sasa majina mengi yametoweka ktk sim yangu hasa yaliyokuwa saved ktk email nimepambana kila namna nimefeli msaada pls"
wadau kwa yeyote ansyeifahamu Android app ya kuboost caller voice maana saut ya sim yangu infinix ninapoongea na sim napata tabu very low voice, nimejaribu baadhi ya App toka play store hakuna utofaut before na afta installing,,
Swali: kwanini wakati wa usiku vumbi hubaki/huganda sana ktk anga hii yaweza onekana barabarani kiurahisi,,,,, Na pia wakat wa usiku pia moshi huganda pia hewani badala ya kusambaratika???
Wana uchumi wenye uzoefu naomba ushauri nina deni Bayport wa sh milioni 9.9 lililotokana na mkopo wa sh, milioni 5.2 kiukweli riba zao ni kali,,,, nimekopa kwa miezi 36,,,,,,, bado miezi 3 niwe na miezi 24,, nimewaza kwenda kupunguza ikiwezekana kufuta deni kabisa,,, muhudumu kaniambia Sina...
Jamani nna mtoto nataka mpeleka huko ila sijajua ziko ngapi na taratibu zake nimeskia moja ipo mbeya je ni kila Mkoa??? Mi nipo morogoro naomba kujuzwa please
Madaktari humu ndani naomba ushauri maana nishaangaika nimefeli,, ngozi ya uso haijawahi kurelax huwa inakuwa kavu na rangi yenye mabaka nimeapply mafuta ya kila aina na ya bei tofauti kulingana na ushauri wa watu wa cosmetics sijawahi ona mafanikio zaidi ngozi yakumbwa na vipele kuonyesha...
Wiki tatu sasa ghafla tu joints za kiuno hasa upande wa kushoto zinanisumbua mashindwa hata pandisha ngazi vyema najivuta tu na pia nashindwa hata fanya. Movement za miguu vyema.
Nilienda hospital moja ya mission yaitwa IKONDA nikaambiwa huenda ni maumivu ya joints inayoitwa Tambazi...
Wakuu msaada wenu please nina matatizo ya joint za kiuno zinasumbua sana kunakuwa na kama msuguano hasa upande wa kulia na hii imenianza baada ya kumaliza dozi ya sindano za kwinini.
Sijui itakuwa zile dawa zimenyonya majimaji msaada pls kwasabu kupanda ngazi na kunyanyua miguu sana napata maumivu.
kila kunapokuwa na video ya kuplay katika blogs simu yangu inaweka blank yaani inaweka gap la weupe nimejaribu kugoogle naona inahitajika flash player au flv nimejaribu kutafuta ktk play store sijafanikiwa msaada pls simu yangu ni T-Mobile my touch 3g android os.
ni simu aina ya T-Mobile my touch 3g android version 2.2.3 tatizo lake kwa sasa Mara kwa mara inastack na ilipofikia sasa ni kujizima na kujiwasha mara kwa Mara Je inatokana na nini na suluhisho ni nini msaada tafadhari?
Nilikuwa naactivete kwa kupress *21#0754125125# na kukancell ##002# lakin kwa sasa hafanyi kazi ilikuwa inanisaidia kujua nani anapiga pind nipo hewan bt kwa flight mode au nani alipiga pind sipo hewan. Msaada plz
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.