Naomba kujizwa kuhusu biashara ya barber shop faida na hasara zake uendeshaji wake uko vipi na changamoto zake natanguliza shukrani za dhati. Mimi niko mkoani mbeya
Ubaguzi tu india wabaguzi sana ndio shida yunayoipata uku ila izo ni changamoto ndogo ndogo tu ambazo zinaepikika na maisha india kawaida tu kama bongooo ni rahisi kukabiliana na mazingira
Samsung kampuni nzuri Sana ila huu ndio ubaya wake ndio maana awawezi kuwa Kama wenzao iPhone mfano Samsung iliyotoka mwaka jana mwanzoni saivi iko cheap Sana ila iPhone ya mwaka jana unaweza kuitumia mpk mwakani kwasababu wanatoa cm mbili tatu mwa mwaka mfano iPhone 6 na 6s and 6plus wamemaliza
Natoa ofa kwa watu wawili tu mimi naishi india ninandugu yako anakuja bongo tarehe ishirini kwaiyo wanaotaka iyo oppo waagize kama ni online mimi nampa ndugu yangu awabebe bureee tu asa kuna wengine watakuja humu wataanza kusema utapeli ndio maana tunaogopa kutoa misaada humu Mda mwingine yani...
Natoa ofa kwa watu wawili tu mimi naishi india ninandugu yako anakuja bongo tarehe ishirini kwaiyo wanaotaka iyo oppo waagize kama ni online mimi nampa ndugu yangu awabebe bureee tu asa kuna wengine watakuja humu wataanza kusema utapeli ndio maana tunaogopa kutoa misaada humu Mda mwingine yani...
Habari wanajamii,
Mimi ningependwa kujuzwa sijui ni bank gani ambayo ninaweza kuweka pesa nikiwa nje ya nchi zikaingia moja kwa moja kwenye account yangu Tanzania mwenye ujuzi wapendwa naomba tushee ujuzi.
Wakuu asanteni
Mie nimeona kwa uku niliko { sikutaji) wanaume wanakunywa cough syrup yani unaweza tu ukaiweka kwenye soda au beer au juice yani vyovyote tu yani hii mwanaume bao moja masaa 6 aisee wanawake wakiona mwanaume anakunywa hii huwa wanakimbia maana wanajua mziki wake lazima utoke na chupi mkonon
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.