TAARIFA KWA UMMA
KUTAMBUA WATANZANIA WENYE TAALUMA NA UJUZI KATIKA SEKTA YA MAFUTA NA GESI
1. Mradi wa Ujenzi wa Bomba la Kusafirisha Mafuta Ghafi “East Africa Crude Oil Pipeline (EACOP)” kutoka Hoima nchini Uganda hadi Chongoleani, Tanga nchini Tanzania ni moja ya miradi mikubwa...
Uzuri wa watanzania HASIRA zetu dhidi ya watawala zinaishia tu kuandika mitandaoni.
Siku tukiwa watu wa vitendo kuliko kuongea na kuandika ndipo tutakuwa tumesaidia dhidi ya huu uonevu
Uzuri wa watanzania HASIRA zetu dhidi ya watawala zinaishia tu kuandika mitandaoni.
Siku tukiwa watu wa vitendo kuliko kuongea na kuandika ndipo tutakuwa tumesaidia dhidi ya huu uonevu
Wewe ndiyo unatafuta kitu kwa kutokwa mapovu na tafiti za watu tena tafiti ambayo ipo sahihi [emoji817]. Tena wewe kama utakuwa wa mkoa wa Mara basi wewe ni wa kuja tu tena MSUKUMA au MJALUO ambao ndio wanaongoza kwa kutotahiri mkoani Mara
Mapovu ni Ruksa
Endelea kutokwa na mapovu ila UTAFITI UPO SAHIHI [emoji817]. Utaki nenda mahakamani na siyo kulialia mitandaoni. Walaumi wazazi wako waliokataa kukupeleka kwa wataalamu ukatolewe govi
Endelea kutukana ila utafiti unapingwa kwa tafiti na siyo Matusi au kushinikiza watu wafute tafiti.
Naona unatokwa mapovu sana utakuwa msukuma au mjaluo kwani ndio watu wenye magovi ndani ya mkoa wa Mara.
OVER
Kwani utafiti ukitaja kuwa tatizo fulani ni sugu katika sehemu fulani wanamaanisha kuwa wote ni wahanga?
Mimi nyumbani ni Mara na naunga mkono matokeo ya utafiti huo. Mkoa wa Mara una takribani makabila 21 kati ya hayo makabila ni makabila machache tu ndiyo yapo msitari wa mbele katika kufanya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.