Bajeti hii inaweza kutupeleka pabaya mno kuliko watu wanavo fikiri haiwezekani sekta muhimu kama kilimo haijapewa kipaumbele afu pia unapoipandsha tozo kwene mafuta basi tegemea nauli ya kusafiri itapanda sion umuhimu wa kufuta kodi road license afu unaongeza kodi ya petrol
Me natamani nifaham ww ni mzee au kijana au ww ni jinsia gn una akili mbovu km hizi may be kama ww ni mzee bc ni haki yako kusema ivo maana chuma chakavu ndo wanaturudisha nyuma kw kuhongwa kwa vitenge na kanga za kijani
Da!kweli huyu jamaa wa lori mbona hajielewi yaani watu kutoa pole kwa wafiwa wanakamatwa hii inauma sana Mugu Mungu anakuona kw hii utavuna unachokipanda hakika one day utaulizwa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.