mkuu ukigoogle utapata. wabongo wakiulizwa hilo swali wanaanza i was born in, primary school wapi, i am christian/muslim nimeoa na watoto watatu. they are not interested in that info. waeleze elimu kdg and how your edu, skills and experience you have are suited for the job (hapo uwe umeipitia...
Wadau kupitia hapa hapa Jf nilipata Tangazo la kazi nikaaply, Last Month nilifanya Telephone Interview na jana wakanipigia simu kwamba nimefuzu kwa hatua ya kwanza hivyo Jumatatu nitafnya interview nyingine both oral and written,
sasa wanabodi kuna swali huwa linanipa shida sana, hata siku ya...
GENERAL
Salutation
Honourable
Member picture
First Name:
Tundu
Middle Name:
Antiphas Mughwai
Last Name:
Lissu
Member Type:
Constituency Member
Constituent:
Singida Mashariki
Political Party:
CHADEMA
Office Location:
Box 21746, Dar Es Salaam
Office Phone:
+255 22...
Wadau hiyo Ndiyo cv Ya Lusinde Mbunge wa Mtera
GENERAL
Salutation
Honourable
Member picture
First Name:
Livingstone
Middle Name:
Joseph
Last Name:
Lusinde
Member Type:
Constituency Member
Constituent:
Mtera
Political Party:
CCM
Office Location:
Box 50...
Wakuu mgomo wa daladala hapa Arusha ni mkubwa sana, nilitoka katikati ya mji kuelekea, njiro hakuna daaladala. nimetumia taxi na nilipotoka sakina kuingia mjini the situation is worse.<BR>Nikasimama sehemu kuwasikiliza machalii wa jiji wanasema wameshazoea mabomu hivyo Zuberi aendelee kumdharau...
Wakuu mgomo wa daladala hapa Arusha ni mkubwa sana, nilitoka katikati ya mji kuelekea, njiro hakuna daaladala. nimetumia taxi na nilipotoka sakina kuingia mjini the situation is worse.
Nikasimama sehemu kuwasikiliza machalii wa jiji wanasema wameshazoea mabomu hivyo Zuberi aendelee kumdharau Mungu.
yaani wetu wengine wehu kweli, CCM ndo wanaeneza hizo madudu yote unayoyasema, na tena inasema kwa watu wa vijijini ambao hawajui kitu, Jiulize ni kwa nini ccm huwa inashindwa mjini na kupata kura za vijiji?
wakuu hizo spoon feeding zinawamaliza hao watoto maana nakumbuka miaka kadhaa nilikuwa UDSM campus ya UCLAS wengi wa wale watokao hizo ST fulalni fulani ni hoi balaa.
Hivi CCM inahitaji vyombo gani zaidi za kuzinadi ina maana Gazeti la Uhuru na Mzalendo hazifanyi kazi? Je TBC1 (muda mwingi hutumiwa kuripoti mambo ya CCM) na yenyewe pia haifanyi kazi?
Mbona kipindi kile waliambiwa wajitokeze kwenye Mchakato majimboni walikataa, Je leo hii wataweza?
Kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.