alihaadi kuondoa kodi alizoita ,kodi za hovyohovyo lakini hizo TRA,LESENI,USHURU,Vimeongezeka zaidi kwenye utawala huu kwa nini? wajasiliamali wasichukie UTAWALA HUU.uongozi wa kukamuana .watumishi walihaadiwa kufutiwa kodi za hivyo za ovyo hadi leo mtumishi mmoja analipia sh 50,000 hadi...
KUUNYOOSHA NCHI sio kuwaletea maisha magumu wapiga kura wako,hali hii ingewalenga wabaya sio hata wasio na hatia,wafanya biashara hata wadogo leseni ,mapato,pesa mabenki yote umeweka kinyesi,wafanya kazi wasio na marupurupu waliponea huko,wakulima mwaka huu ukame japo hilo si la uongozi ila ni...
wengi wa watanzania walioko msumbiji,south,zambia,malawi ni wale wamekwenda kutafuta aendi na kitu chochote na wengi hufika na kuwamachinga,au huishia vibarua wachache watanzania wanaohamisha miradi yao ya mamilioni kama wahindi kwenda nchi nyingine na ndio maana tunadharaulika nje.niliwahi...
hata wewe kama unautaka utajiri nenda bariadi ila masharti najua yatakushinda kuna wale watoto wa fisi aliyezaa na msukule wa kike hiyo ni mali ilete ni kupeleke utajirike faster
mwandishi habari hizi ameambiwa akakurupuka kuuza gazeti,hata kama diwani alikuwa anawasilisha penye chuki hapana haki.wanaokura pesa za Tasaf ni wengi nenda vijijini pesa ikitoka wazazi wanashinda wamelewa ulanzi,na watoto shule walisha
acha
mada yake ni nzuri ila ni ya kwenye kahawa,usiijadili kisomi hutampa jibu analolitaka.ndugu vijisenti kwa bariadi sio tajiri kwani mali zake bariadi ni kidogo sana anajulikana kwa ubunge.matajiri wa bariadi pesa wameipata migodini na huko ni ya kubahatisha wengi wanarudi mikono mitupu...
kote matatizo yapo inchi nenda mahakamani hasa za mwanzo ,makarani wanaajiriwa kwa vigezo gani? wengi ni wale jamaa au ndugu wa mahakimu na darasa la saba.karne hii.
UPINZANI wa siasa tanzania hupo usipime,wizi wa kura,kuchafua majina ya watu na kuweka wafuasi wa vyama sio njia ya kuumaliza upinzani ambao upo kwenye mioyo ya wapiga kura.
kosa la nani mbona wahajawajibishwa TRA waliomlea asilipe ,wakina ANNA Tibaijuka waliojimilikisha hekali 200,000 eneo la hifadhi ya taifa kyamiolwa bukoba,mbona wapo.kumaliza upinzani sio kuwafilisi na kuwafunga wapinzani.fanyeni mema kwa wapiga kura.
mnaongea ya zamani nendeni mkoa wa simiyu huko bariadi kata ya gambosi wengi huita gambush mpaka sasa uchawi ulioko pale ,ni balaa mchana kijiji usiku bonge ya city.misukule kama kawa.mashamba makubwa ya mipunga mchana uyaoni,
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.