Acha uswahili...kubali kuwa ulichemsha, brand name ni jina ambalo linajulikana kwa watumiaji, generic name inajulikana kwa wafamasia... Gentamycine na Garamycin yote ni generic na brand names at the same time. Punguza uswahili wewe...tatizo ulifikiri nimechapia kuandika stelles Kumbe nimeandika...
Gentamycine kwa jina jingine inaitwa Garamycin... Acha kujifanya mjanja kwa vitu usivyovijua mkuu utaaibika! Kama vp twende wote beach maana inaonekana na wewe una stelles
Wale waliokua miaka ya mwanzoni ya 2000 (2000-2004) kulikuwa na kundi la music la mwanza walikuwa wanajiita BWV (boys with voices) walitoa nyimbo nyingi ila maarufu zilikuwa ni Barabara za mwanza (sijui nimepatia) na mzee kijana. Kama kuna mtu ana nyimbo zao hasa huo wa mzee kijana naomba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.