Mbona mnawayawaya.
Acha wa so I wa kweli waandike vitabu baada ya kufanya research ya kisomi.
mbona kuna kitabu kinachomponda cha “Iam the State” mlikuwa mnakisifiankila kukicha na watu waliwaacha. Vumilieni au mkaandike kitabu kingine.
Dk Kimei acha kubabaika, wewe eleza ukweli wa mambo ulivyo na elimu yako uliyofundishwa inakiri hivyo, serikali popote pale duniani ina mandate ya ku access account ya mtu au taasisi yeyote for obvious reasons
Hatuna wapinzani ni wahuni tu wasaka tonge. Ndiyo maana mambo ya msingi ya kuleta maendeleo kama alivyosimamia Magu walipiga vita na kudanganya wananchi.
Sasa hivi wameonjeshwa asali wamebadili mashahiri!
Kwa tunaoijua CHADEMA hatushangai.
Sera yao ya siri ya utekaji, mateso na mauaji imedhihirika kwenye matukio mengi.
Baada ya matukio wanakimbilia kupiga uongo kwenye mitandao ya kijamii. Kesi ya Mbowe ilidhihirisha kwamba walitaka kushika madaraka kwa mbinu chafu za mauaji na kuhamasisha vurugu...
Bado hamjachoka na propaganda za kumchafua marehemu?
Kila mkipima mnaona bado anapendwa hivyo kuongesa kasi ya uongo wenu.
Eti Rais wa ovyo na mwovu.
Kipindi cha Magu ndiyo sheria ziliheshimiwa kupita vipindi vyote! Siyo sheria za barabarani, sheria za kulipa kodi, sheria za kazi nk. Ndiyo...
Duh, ni wiki 3 zilizopita fundi wangu alinishauri nisiweke kioo aina hii sababu ndege watasumbua sana. Kiukweli sikumwelewa, ila nimeelewa. Asante fundi
Kwa sasa hivi polytank ndiyo wanaongoza baada ya simtank kupunguza thickness, namba 2 ni Simtank, then wengine wanafuatia. Hii ni uzoefu wa mafundi wengi na wafanyakazi wa kampuni zinazouza hayo matank
Nawashangaa wanaomsifia Bashe! Bongo ukijua kupiga domo unateka watu wengi sana!
Tuangalie impact ya utendaji wake na siyo longolongo anazopiga!
Makosa makubwa 2 aliyochangia, ambayo kwa nchi nyingine angekuwa ameshawajibishwa muda mrefu tu;
1. Kuruhusu mazao kuuzwa njeya nchi kiholela na hivyo...
Ukiacha Kigogo ambaye naye kipindi hicho alikuwa anatumiwa na chama hiki, dhana hii imebuniwa na kuwa propagated na chama kinachojiita kikuu cha uponzani Tanzania.
Mbinu yao ni ile ile, kutumia vijana ambao wengi wao wanajulikana walau kwa nick names kwa njia ya makala na meseji kwenye social...
Wengine tulieleza sana kuhusu propaganda. Inasikitisha watz wengi hata wasomi ni mateka wa propaganda. Nafuu hata watu wa kawaida walikuwa na msimamo kuliko sehemu kubwa tu ya wasomi
Hawana ushahidi, ila wanatekeleza sera za;
1. Vyama vya upinzani vjsivyo na hoja. Unategemea baada ya Magufuli kuonyesha kwa vitendo kuwa siasa ni kutumikia walio wengi kwa kuleta maendeleo na kutatua kero, na ikafanya wananchi wamchague kwa kishindo kwenye uchaguzi wa awamu ya pili upinzani...
Kwa wanaoijua CHADEMA inawezekana kabisa ni inside job!
CHADEMA mabingwa wa mapichapicha, walijitahidi kuhakikisha picha za tukio hilonhazisambai kinyume na utamaduni wao!
Risasi kutoboa upande moja wa gari na yeye kuumizwa upande mwingine. Risasi zitoboe kushoto na muathirika aumie mguu wa...
Aaah, unanikumbusha jamaa yangu alikuwa na Guest, baada ya kuibiwa sana akabuni mbinu ya kuwa na mpambe wa siri.
Alichofanya alikuwa anatembea na moja wa wahudumu na hivyo kupata info zote. Meneja akabaki na mshahara wake mkubwa lakini akakosa uhuru wa kuiba.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.