Kwanza angalia hii snap
Hapa ni combine speed ya Airtel, Voda na Tigo
Sasa Introduce you the revolutionary software "Connectify Dispatch" Hii kitu ndo inafanya hio magic na pia kwa kitu ambacho seemed possible kuweza combine zaidi ya 10 internet connections kuwa one super fast speed...
Niaje wakuu leo tutazungumzia hili swala, wengine wanaweza sema LOL! mbona nisha activate win8 yangu zamani kabisa.. well you thought wrong..
Kwanza ilitoka activator ya kwanza na I think ni jamaa from Korea(Correct me if am wrong) thanks to the leaked RTM version wakafanikiwa kuhack na...
Habari wakuu leo tutacheki jinsi ya kubypass hii kitu, Kuna njia nyingi zipo zinazo semekana zinakubali but nyingi huwa ni ngumu/hazifanyi kazi na kwa XP kuna ile trick ya safe mode(ambapo only works kama kuna local account na admin account) n.k but this is even better ni very easy and fast na...
Jamaa wa stardock wameona kilio cha watu wengi ambao hawa pendi changes (Which I definetly not agree with them I believe change is good) Na kutegeneza software itakayo rudisha start menu kwenye Windows 8, But nimewasifu maana the tool is so great utadhani Microsoft ndo wameweka. inakupa all the...
Niaje mazee kwanza kabla ya yote nimetegeneza video kuonyesha kuwa hii repack is working perfectly maana at many times hizi repack au compressed games zinakuwa haziwork.. hii inawork tu ukifuata maelezo yangu corretly lasizyo hautafanikiwa ok then PES 2013 hii hapa just a few minutes gameplay...
Niaje mazee leo nime amua kuonyesha how fast voda ipo katika streaming nime make video iyo hapo ujionee mwenyewee.. Na angalia vizuri hapo nawatch kwa 720p HD! Voda keep ROCKING!
Ok kwa wale wa torrents this is your moment zbigz premium account for 48 hours jamaa wanaleech in seconds na speed ni amazing see the screenshot below.
THE ACCOUNT!
email: e2themiza@waukweli.com
pass: hacked
OK bado niko katika marekebisho ya hapa na pale so narusha now mpaka saa kumi kama testing then ikiwa bomba kabisa muda huo wote, nitatoa schedule masaa yapi na yapi nitakuwa narusha LIVE!! bitrate sio kubwa so mnaweza angalia bila kuganda ganda open kupitia hapa...
Ok nikwamba kwa taarifa ambazo tumepata hv punde ni kwamba tumekumbwa na msiba. Sasa bdo haijajulikana fasaha ni kwa muda tu au ndo moja kwa moja.. Ni kwamba the good news ni kwamba kuna upenyo mwingine kama wa marehemu na kuna baadhi ya watu that I trust niliwatajia humu. SASA UNDER NO...
Yap 2 whole weeks for free Zantel UNLIMITED download woow!!! In one week I download like 20GB so.. 2 weeks u can even download 50GB its up to you... All you gat to do is win My Competition and you get your free premium account!!!
Sasa lets see how the competition is..
Nimetegeneza a setup file...
Yah nimeckia kuwa sasa wanauza hizi modem ZTE MF180 and the good news is it is UNLOCKABLE na it takes seconds just to unlock it so fuatana nami through the process:
HERE IS THE MODEM
Hizi ndo Steps of Unlocking it:
Kwanza download hii cracked dc unlocker kutoka hapa:
_dccrap.zip...
Habari zenu wanajamii kunatatizo kubwa katika internet ya Tigo nime experience hku naa kama 48 hours sasa Browsing speed ina matatizo sana.. pages hazimalizi kuload na zingine zinaload tu bila kufunguka na zingine zinafunguka only half.. but katika downloading speed iko poa idm, torrents...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.