Kukaa bila kazi Ni changamoto kubwa sana, mwili unahitaji mavazi, tumbo linahitaji chakula, simu iwekwe Salio. Yote haya na mengineyo hayawezi kuja bila pesa, pesa haipatikani bila kufanya kazi.
Kwa yeyote yule anayehitaji mtu wa kazi nipo hapa natafuta kazi. Najua kutumia computer, afya yangu...
Salaam
Ni kitendawili Cha picha ambacho wengi walikua wakijiuliza watachomokaje?.
Upo juu ya mti umening'inia kwenye tawi, kwenye huo mti Kuna nyoka mwenye sumu Kali anakufata. Chini Kuna mto wenye maji ambapo Kuna mamba. Nchi kavu Kuna Simba.
Je, utahishikilia tawi kwa mda gani?
Tuangalialie...
Salaam
Huu uzi ni kwaajili ya animation (cartoon) kali ambazo uwezo angalia. Pia kujulishana ambazo zitatoka.
Animation yangu ya kwanza ilikua ni Big Hero 6, hii ilinifanya niwe mpenzi na mfuatiliaji wa cartoon au animation.
Nyingine kali nilizozicheki ni:
Sing
Frozen 1&2
Tangled ever after...
Salaam,
Naomba tuzungumzie hili suala mana inawezekana wengi wanateseka lakini hawajui. Kwa watu wenye uelewa juu ya hili ni vizuri kutueleza.
Karibuni.
Maisha ya mapenzi ni kichaka kikubwa mno
Zamani nilikuwa najua ukiwa na pesa utapata furaha kwenye mapenzi lakini kumbe sivyo kabisa!
Mapenzi ni kichaka, mapenzi ni giza, mapenzi ni zaidi ya bahari, utaingia ukiwa na mtazamo mzuri ila ukabadilishwa
Mapenzi ni maumivu makali
Mapenzi ni furaha...
Manipulated Man by Esther Vilar
Polygamous by Esther Vilar
The Dating Wizard Secrets to Success with Women.
Kwa walio oa ni vizuri mkajua kwa nini wanawake wanachepuka kwa kusoma The Dating Wizard
Nitagusia baadhi ya maeneo ya ivyo vitabu alafu tutaangalia kama yanayosemwa yana ukweli ndani...
Nawasilisha kama tulivyokubaliana kwenye azimio la hivi karibuni kwamba uvunguni mwa kitanda ndo stoo. Pia sheria za kufanya usafi ni mpaka pawe na appointment, kuosha vyombo siku ya kupika n.k hizo sheria zimebaki vilevile.
..........
Kwa wale wafatiliaji wa time traveler kwa kupitia hii YouTube channel, watakua wanamfahamu huyu jamaa anaeitwa Noah. huyu mtu alikua anasema yeye ni mtu kutokea future [2030]. Ameaminisha watu wengi sana kuhusu kusafiri kwa muda.
Tarehe 23 July 2019, ApexTv walirusha video yake ambayo inaonyesha...
Habari za wakati huu.
Kutokana na kichwa cha habari kinavyojieleza, na haya ni maoni yangu...
Kikawaida imezoeleka kwamba katika jamii tumejengewa dhana potofu kuwa kila binadamu anakosea. Hii inafanya wakati mwingine mtu aogope kufanya jambo akihofia kukosea, maana anafikiria kama akikosea...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.