Kwani imewahi kutokea mzungu akampenda mtu mweusi??? Tukienda huko kwao wanatuita nyani na kutunyanyapaa kila kona. BTW mzungu anatafuta kila namna kumpoteza mtu mweusi kwenye uso wa dunia.
Tunalindwa na Mungu tu
Huwezi kuzikuta, na ukitaka kubet kwenye hayo makampuni ni hadi uwe na mastercard au visa card, majuzi nilifanya mchakato nikapata visa card ya mpesa, then nikiwa kwenye mchakato wa kudeposit kwenye account nikakutana na kimbembe kwenye ku-verify ID card nilisota siku nzima sikufanikiwa hadi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.