Atakuwa ameingia kwenye kundi la waliowahi kuchezea Liverpool wakiwa na umri mdogo Zaidi Yeye akiwa na umri wa Miaka 16 ma siku 243 akimzidi umri Elliot wakati akianza kuchezea timu kubwa......... Ni germ nyingine kikosini
Ni mambo ya kusikitisha.....yaani leo hii wale Idf mpaka wasaidiwe na USA kwenye kupambana na wanamgambo !!!??
Kumbe ni kweli uongo(propaganda)huwa una mwisho wake
Unajisahaulisha...........turudi kwenye kawaida au ligi yetu ya kugawana pande
Ulikuwa kwa wanyonge wa ukraineSie tukawa kwa Mtemi rusia
Ukahamia kwa wababe Israel Sie tukawa kwa wanyonge wa hamas
Sasa mzunguko Ni Ule Ule anza kuwatetea wanyonge na Sie tutachagua wa kuwatetea
Hakuna...
Umeandika kutokana na muono hasi na Si kwamba UnaHakika na ulichoandika
Kumbe Ni makanisa ya sasa Ndo wanajenga kwa pesa zao!!Ila tambua kuwa toka kale misikiti inajengwa na waumini wenyewe na Ndo Maana huwezi kuta Kuna msikiti wa fulani na fulani Ila huko makanisani Kuna...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.