Habari
Muda huu mbeya mjini hakuna daladala inayo tembea barabarani
Route za kuanzia igawilo stand mkuu na mbalizi mwanjelwa
Wahusika wafanye haraka kutatua hili maana wananchi wanateseka
Nauli imepanda Mara mbili zaidi
habar
Hii ni ya kweli nitaondoa baadhi ya vitu ili iwe fupi kidogo
Mwaka 2005 niliajiliwa kampuni X kama kibarua mwaka 2007 niacha kazi kampuni X na kuenda kampuni N
Hii yote nikutafuta maslahi bora lakini nilipata matokeo tofauti na matarajio yangu
Mwaka 2009 niliamua kutafuta njia ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.