Sawa sawa, na ndo guidebook zote NACTE na TCU znaelekeza hvyo, na mm huwa nazsoma sana hz guidebook kla mwaka zktoka, sasa ambapo cjui n je kuna watu wanasajiliwa hata kama hawana sifa zilzotajwa kwenye guidebook? Maana mm nlshamalza chuo ktambo sema mm huwa nasoma hzo guidebook kujua mwaka huu...
Kwa kiingereza rangi kuu ni 3 yaan RGB
Red, Green, Blue
Rangi zngne zote znatokea hapa km upnde wa mvua ulvyo na rangi nyingi, lakin pale pia hakuna rangi ya Gold(dhahabu),
Pale kuna
1.White (nyeupe) japo haionekan
2.Black (nyeusi) huwezi iona
3.Blue/Cyan (rangi ya anga/bahari)
4.Green(kijani)...
Line 1 icyo ya campuni yoyote? Hyo lain nan ataitoa? Atakusajil nan? Utaweka vocha ya mtandao up?
Labda itolewe na serikal km vitambulisho vya kupgia kura, na vocha je? Utaweka ip?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mmmmh,
Kipi ktaanza?
Uchue dushe kwa ktunguu,
Uchue dushe kwa asali mbichi, na ulambe
Uchue dushe kwa maj ya uvuguvugu,
Mda ule ule,
Sasa next c ktaondoa previous?
Maji sawa na tkt kpande, ndz moja sawa, chungwa inaweza pata, maharage sawa n mboga ya kla cku, km cyo bas hazpt cku 2, maziwa km...
Unajua, watu tunadharau au hatujui, au tunajsahau, au n mfumo mbaya au n mabadliko ktk Teknolojia mpya na elimu.
Sheria tu za mahal flan, znabadrka kla mara, uongoz nao unabadrka, so kla sheria na lengo au target yake, vivyo hvyo na uongoz nao unakuwa na malengo na target zake il kufkia jambo...
Ndyo, akshakuwa na B3 anaenda advance, na hata C3 akbance comb. Ila itategemea na ufaulu wa mwaka huo kwa comb husika,
Bas ikshakuwa hvyo advance afaulu aende chuo kutokea advance, hyo haina longo longo,
Ila akianza kuzunguka zunguka mara wap mara kule, hapo ndo matatzo yanaaanza
Sawa sawa kabisa,
Hv vyuo vyetu vya Cert na Dip vlpopewa ruhisa kuasajil bla kuptia NACTE weng wanafata hela tu,
Walai wasipolegeza mmmmh, Degree ztakuwa za Wachachel
Hata form 6 nao wamebanwa
Miss Kimaro, heb tafuta Guidebook ya NACTE ya Mwaka huu 2018/19 ya kujiunga na Bachelor ukitokea Diploma, ntakuwekea Screenshot ya Kigezo/vgezo vya mwka huu.
Kama hawatabadlisha wameandka hiv:
"Ili ujiunge Degraa ukitokea Diploma, lazma uwe na GPA ya 3.0 na kuendelea + na ktk matokeo yako ya...
Mwl. Njoo Kilimanjaro, Wilaya ya Rombo, kata/kijij Marangu/Kitowo, Barabara iendayo Tarakea,
Idara ya Secondary. Science,
Nije Mtwara manispaa mikindan na around Mtwara Jlan
0715 185258
Mmmh, cjafanya utafit, ila nlchokishudia ndoa nying za mabint wasomi, zna migogoro na hazdum sana, cjajua n kwa nn, ila shemej zangu wawil wasomi kwa level ya degree1, wananiambia wadada wasomi wanajiona, wana mshahara, zle heshma kwa waume zao znapungua, yaan "ucnzngue nna mshahara wangu" dasa...
Jaman kuna anaejua nn kmetokea? Mbeya nzma haikuwa na umeme, na vtuo vya redio havkuwa hewan icpokuwa kmoja tu, toka asubuh had sasa hv ndo wamerudisha umeme, vp huko napp palkuwa hv? Uchaguz ufanyka Zenj cc huku tukatiwe umeme na vtuo vya redio, kulkon?
Cyo Kwel, N Kubajet Vzur,
Wanafunz N Weng Ndyo Lkn Pesa Wanayotaka Kw Ujumla Wao Cyo Nyng Ya Kutsha, Mbona Bunge Maalum La Katiba Pesa Ilpatkana Tena Nyng Kulko Za Wanafunz Wote Tz, Tena Lilkuw La Mda Mfup Na Watu Wachache, Lkn Wanafunz Walsubrishwa, Wakapewa Wao
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.