Naomba ushauri au elimu au Ufahamu kuhusu ubora wa simu za Samsung toleo la M series.. Na Ubora wa Simu za oppo na series ipi ni bora
Na ushauri kama nataka kuchukua simu kati ya hayo makampuni nichukue simu gani.. Kwa kuzingatia, ukubwa wa battery, ubora wa camera, ukubwa wa storage 128gb,na...
Sahihi kabisa.. kwa hao Android wameanza mwaka gani?? Kabla ya smartphone android alikuwa anajulikana?? Na tukumbuke technology inakuwa kila kitu.. nashanga kuona baadhi ya watu wakiamini kuwa hilo jambo la kuwa na os na app zao haliwezekana. Hii ni imani potofu.. tuomb3 usima mchina ana uwezo...
Mbona wanaweza tuu.. wakaja na os yao na wakafanya vzr.. maana hata hayo uliyoyasema yamegunduliwa na hayakuwepo.. kwahi tutegemee mengi maana tunaenda mbele haturudi nyuma.. unataka kuniaminisaha kwamba YouTube, Google,google drive, Gmail, nk ndio mwisho wa ugunduzi??
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.