Kufuatia tamko la Serikali juu ya kufunguliwa kwa vyuo na vyuo vikuu vyote nchini pamoja na
wanafunzi wa kidato cha sita hapo Tarehe 1 Juni 2020, Mtandao wa Wanafunzi Tanzania – TSNP
unapenda kutoa angalizo katika maeneo kadhaa ili kuhakikisha haki na ustawi wa wanafunzi
unazingatiwa...
Mtandao wa wanafunzi Tanzania – TSNP unapenda kutoa maoni juu ya jitihada mbalimbali zinazofanyika ili kuendeleza masomo katika kipindi hiki cha dharura ya ugonjwa wa CORONA:
Kwanza: Kuhusu vipindi vya masomo kwa njia ya Redio na Televisheni vinavyoratibiwa naTaasisi ya Elimu Tanzania (TIE)...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.