Mkuu asante kwa kudadavua, mimi naomba kuuliza,
1. Dini ya Judaism enzi hizo kabla kutawanyishwa kwao, Kuhani Mkuu alikuwa akisimamia mambo mbalimbali kwenye dini hiyo kwa mjibu Wa Torati,
Je hivi sasa 2024 Kuhani Mkuu wanaye?
2. Miongoni mwa kazi za Kuhani Mkuu ni kufanya upatanisho wa taifa...
Nadhani usifanyike kipindi hiki cha utawala wa Delilah, mhalifu anaweza kujichunguza? Na hata ukifanyika utakuwa ni wa kujisafisha BT na genge lake.
Bora kusubiria wakati sahihi
Ni nabii yupi aliyetoa unabii na akawa anawakejeli wanaoomba toba kwa ajili ya ile hukumu iliyo ndani ya unabii?
Nabii wa Unyakuo yeye full kejeli kwa watu waliokuwa wakiomba rehema kwa Mungu, hapo mimi nimepishana naye hapo.
Ulipo sema "The Club of Rome" umenikumbusha mbaaali sana, enzi hizo za Gazeti la Tazama, safu ile mwandishi Gideon akiandika maswala ya Freemasons, Gazeti hili sijui lilikufa au bado lipo?
.
Ningekuwa mimi ni Waziri mkuu wa Israel, huu ulikuwa ni wakati sahihi wa kurusha kombora juu ya jengo la Al Aqsa na kusingizia Makombora ya 🇮🇷 🇮🇷 yameliharimbu jengo hilo.
Hamna kitu pale, tuhuma nyingi anatuhumiwa na watu,
Pia hela nyingi anapewa na Bibie,
Hivi mnadhani kwa nini bibie anapenda mikopo sana?
Bibie tangu aingie madaraka ana miaka mingapi?
Alikuta deni la taifa ni kiasi gani?
Je na kwa hivi sasa deni la taifa ni kiasi gani?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.