Pole sana ndugu... binafsi nilishawahi kupatwa na hili tatizo, nilikuwa na umri wa miaka 21, na nilikuwa bording school advance, ilinipa shida sana maana nilikuwa siwezi kuvaa viatu wala soksi.
Na nikikanyaga chini kwa mda bado nahisi moto. Nilipata shida kwa mda ila nakumbuka nilirudi...
Natafuta wapi (dar es salaam) wanauza na kuweka kifaa cha kuwezesha radio ya gari kupokea frequency band za hapa nchini yaani FM 88 - 108 Mhz maana radio nyingi za magari ya japan frequency range zake ni 76-90MHz
mbona the rock keshandundwa na sina na mkanda umechuliwa!sina bado ni yule yule wa siku zote sema kukaa mda mrefu bila mkanda kulimfanya apunguze mazoez,ila the rock kadundwa na kakubali.
mi nadhani uelewa mdogo na fikra mbovu mlizonazo ndo zinawaponza.we unadhani folen inayokuweepo kwa babu kila mtu angekuwa angekuwa anashuka na kukalia bench unazosema ni wangapi wangepata huduma?
na mi nadhani we sio mfatiliaji maana kwa babu watu waokuwa kqwenye magar wanapewa dawa wakiwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.