Umewahi kulala hotel yoyote Dar? Hiyo bei anapata hotel kibao, hata akisoge UBUNGO atakutana na hotel kibao za bei hiyo. GUEST na LODGE za DAR bei zake ziko buku 10 hadi 20, acheni kungopea watu, kama mnaishi kwa dada zenu msitake kuwaongopea watu.
Imenichukua mwezi mmoja kufanya analysis juu ya hii game, nimeangalia game karibu 10 za kila timu na katika hizo karibu game 5 nilienda uwanjani kushuhudia tactics za timu zote mbili.
Game ya 05/11 ni moja ya game ngumu kwa mwonekano wa nje, ila kwa namna nilivyoziangalia hizo timu zote, 75%...
Hoja za kijinga kabisa hizi, wapalestina na Waisrael wanafanana sana tu, ni race moja. Kucheza mashindano ya Ulaya hata UTURUKI anashiriki mashindano ya Ulaya na hayupo Ulaya.
Hizi hesabu sio halisi kabisa in terms of Profit, ndio kuna maokoto lkn sio kwa super profit kama hii aliyoitaja mleta uzi. Kwa namna yoyote ile Operation costs za hizi kampuni zinakuwa juu ingawa bado atapata faida.
Yaani akili yako inakuambia Mungu aliyekuumba wewe alishindwa namna ya kukuokoa akaamua ajibadili awe binadamu ili akuokoe? Yaani mungu alishindwa kubadilisha akili zako automatic ili uwe mwema? Mungu akaamua akae tumboni miezi 9, anye mavi kwenye chupi miaka 5 ili tu kukukomboa wewe?
Una akili...
Kati ya wanawake waislam 100 utaoweza kuwabadili dini kisa ndoa au mapenzi wanaweza kuwa 2 au wamezidi sana yaani sana ni 5 tu out of 100, na kati ya wanawake wakristo 100 utaoweza kuwabadili dini kisa ndoa au mapenzi wanaweza kuwa 60 na wamepungua sana yaani sana ni 50 out of 100.
NB. Familia...
Wamakonde ukoo uko kwa baba na sio kwa mama. Wamwera ukoo uko kwa mama. Membe ni mmwera na sio Mmakonde. Nape ni Mmakonde wa Mtwara na sio Lindi. Wamakonde wanapatikana Both Mtwara and Lindi. Mtwara wamakonde wanapatikana zaidi wilaya 3, Mtwara, Tandahimba na Newala na Lindi wamakonde...
Nape ni kifupi cha neno Nnapelepe na hana uhusiano wowote na Tukuyu, ni mmakonde Pure tena kutoka Wilaya ya Tandahimba, Zamani eneo alilotokea ilikuwa wilaya ya Newala. Mzee Nnauye ni Mmakonde pure, na hayo majina yote ni Kimakonde tena cha Newala.
Chuki kama hizi haziwezi kuleta nafuu yenu ya...
Wewe ndio mpumbavu na huna ujualo, wewe ni Kima tu. Change ya ownership haina uhusiano na newly Formed Company. Hata hivyo kampuni ikiuzwa inabaki na TIN ileile, wateja walewale, wadaiwa walewale nk.
Ukinunua Kampuni unanua na madeni yake, operesheni zake hubaki kama zilivyo.
Tax exemption...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.