Kichwa cha habari chahusika, huyu mkurugenzi imepita miezi sasa hajatulipa pesa zetu tunamuomba waziri husika umuwajibishe maana tumemwandikia barua hataki kutupa haki yetu, ntarudi
Wana JF jana na leo kampeni zimeanza maeneo mbalimbali ikiwemo mtaani kwetu na muitikio ni mkubwa sana. Watu wamehamasika kuleta mabadiliko kupitia upinzani kwa kua chama chakavu kimewatesa kwa miaka sasa na huu ufisadi wa escrow umekumbusha machungu mengi sana. Wengi wanasema wataiadhibu CCM...
Tumeshuhudia wanasiasa hasa wa vyama pinzani kuungana kudai kinachoitwa katiba ya wananchi, nionavyo mimi muungano huo ni wa kinafki kwakua kabla vyama husika vilishakashifiana na kuitana majina kibao ya kashfa kama vile ccmB n.k
Nimeshangazwa sana na kitendo cha baadhi ya wapinzani kutokuwepo bungeni jana wakati wa siri na wazi,na wengine walikuwepo lakini walivyoitwa hawakupiga kura sasa mnataka 2015 mpigiwe kura je mshachukua chenu mapema?
Mimi kama mwananchi nawashauri wanasiasa hasa vijana tutoke kwenye mitandao, tuelekee vijijini tukatoe ushawishi wetu wa hoja tunazozitoa humu ili kuwafanya wananchi wawe na mwamko zaidi hasa vijijini.Tusijidanganye si watanzania wote wanafikiwa na magazeti,Facebook, jamii forum, nk
Kwa miaka mingi sana chombo hiki kimekua msaada kwa mustakabali wa elimu nchini lakini matatizo mengi yametokana na siasa, wakuu wa shule wameachiwa mzigo wa kuendesha shule..... Ntarudi kikao ndo kinaaanza
"Nchi ngumu hii"
1:Tupo kwenye upembuzi yakinifu(majibu ya waziri bungeni). 2:kesi iko mahakamani nikizungumzia hapa nitaingilia uhuru wa mahakama. 3: wapigwe tuu maana tumechoka. 4:Jeshi la polisi linaendelea kumsaka mtuhumiwa...
Wakuu habari zenu, bila shaka mnajua kuwa serikali iliahidi kupunguza kodi kwa wafanyakazi, ingawa ni kidogo ningependa kujua CWT wao wanampango kama huo? Au ndio wanazidi kuwanyonya walimu?
Jamani hii inakera sana marafiki zangu wengi wameumia katika tukio la jana kule Arusha, na watanzania wenzangu wote hasa wapenda haki nadhani imewauma sana, sasa ombi langu kwa chadema itisheni maandamano ya Amani ya kulaani hili tukio
Nimekuwa nikijiuliza sababu iliyomtoa msanii na mwanahabari mwenye kipaji cha aina yake pale radio ya watu bila kupata majibu yake. Je kuna mdau anayejua au yeye mwenyewe anawezakua humu ndani atujuze
BAADA wadau na mashabiki mbalimbali wa muziki wa kizazi kipya kushambulia msanii wa muziki wa Bongo Fleva nchini Tanzania Mwana F.A katika mitandao ya Tweeter na Facebook kuhusu bifu lake na msanii mwenzake Lady Jay Dee, msanii huyo amesalim amri na kuwaomba mashabiki wake msamaha.
Mwana F.A...
Kupitia kipindi cha hotmix EATV watanzania tunaombwa kumsaidia huyu mzee. Tena anasema Jk ni rafiki yake walikuwa wote UVccm(siyo hii ya sasa) kwahiyo anaomba naye amtembelee
Eti anajitetea kwa matokeo kuwa mabaya kwa kusema" Mh.spika si shule na serikali pekee zilizofanya vibaya hata za watu binafsi zimefanya vibaya sana" kwahiyo huyu Mdharaulika anataka kutuambia kuwa hiyo ndiyo sababu inayomfanya asijiudhuru?
Naomba kutoa ushauri kwa viongozi wa CHADEMA kupeleka vuguvugu la mabadiliko Zanzibar, CUF washajiishia huko maana watu hawajui hata mlengo wa chama , ni wakati wa kwenda kuzindua M4C sasa mpaka kieleweke
Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
Ni kawaida kwa wadau mbalimbali humu kuomba msaada hasa wa kimausiano. Nasema asante sana wadau humu jamvini kwani maujuzi na mbinu mbalimbali(zilizonzuri)mnazoweka humu zimenisaidia kuimalisha mahusiano yangu na mwenzangu hasa zile tips8 we acha tu! Ingawa hatujuani lakini mmenisaidia sana...
Wanajamvi salaaam kwenu. Nimekuwa katika wakati mgumu wa kujua kiwango cha damu mwilini je normal ni ngapi kwa mwanaume? Maana nilishakwenda hospitali moja ya binafsi baada ya kupima kiwango cha damu daktari wa kwanza akaniambia nina damu nyingi sana, lakini nilipoingia kwa daktari mwingine...
Jamaa fulani alikuwa na tabia ya kujamba kwa nguvu kila aamkapo asubuhi. Mkewe alikerwa sana na tabia hiyo, alimkataza akachoka, siku moja akamwonya kuwa iko siku badala ya ushuzi, utumbo utakuja kumtoka. Jamaa alicheka sana kusikia hilo. Siku moja mke alilazimika kuamka alfajiri awatengeze kuku...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.