Mwaka 1997 nilikuwa nafanya kibarua cha ujenzi ktk wilaya moja mkoani Mbeya
Wakati naendelea na kazi siku moja alikuja ndugu yangu ambae awali tulikuwa tukiishi wote ilala mtaa wa bungoni kabla sijaenda mbeya kwa ajili ya kibarua.
Baada ya kunisabahi alinieleza kuwa ana mpango wa kwenda south...
Pamoja na kazi nzuri mnayoifanya nawashauri muangalie route za daladala kwa kusaidiana na sumatra.
1- Ongezeni routE kutoka forest mpya na zamani hospatali ya mkoa mpaka mjini kwa wakazi wa maeneo hayo hayo ni shida na gharama ni kubwa mno
2- Punguzeni msongamano barabara ya Zambia Iringa kwa...
Habari wakuu,
nahitaji mkopo wa haraka wa shilingi milioni mbili. Dhamana nyumba hapa dar,kwa anaeweza kunifahamisha wapi naweza pata tafadhari nawasilisha
Salaam wakuu, nahitaji sh milioni za mkopo wa haraka kwa dhamana ya nyumba hapa dar.
Kwa mwenye kujua mahali ninapoweza kupata nitashukuru..nawasilisha
Nauza betri N17O dry cell na tv flat sreen 15" na dvd zote zina mfumo wa dc na ac, kwa matumizi ya tv inatumia hadi siku nane kwa wastani wa masaa manne kwa siku.Nipo dar
Kwa ndugu zangu wana jf wote kwa wenye nia ya kujenga, Pata viwanja vilivyo pimwa maeneo ya Mwanagati square meter 500 kwa tsh 14m,square meter 1500 tsh 25m kuna maji na umeme vipo viwanja 8 tu Pia square meter614 tsh 15m umeme na maji vipo HAYA KAZI KWENU!
wasiliana kwa 0763 150 550, 0769...
Habari zenu wakuu?
Naomba msaada wa mwenye kufahamu hili, ukiondoa shule za serikali zinazofundisha watoto wakorofi je kuna shule (sekondari) inayo fanya hivyo angalau kujaribu?
Habari wakuu,nahitaji mwenye kujua hili, nataka mkopo wa 5m lakini marejesho yaanze baada ya miezi 6. Mwenye kujua naweza pata wapi anisaidie tafadhari.
Salaam, kwa ufinyu wangu wa mawazo nadhani ulikuwa wakati muafaka wa mh pinda kukaa pembeni.
Sasa tunapata picha halisi ya serikali ya jk na maswahiba wake.
Sasa naelewa kwa nini magufuri alisema anatamani angekuwa mbunge wa kawaida tu.
Kadri siku zinavyozidi kwenda binafsi naona kituo cha times fm kinakonga nyoyo zetu hasa wanapoongea ukweli kuhusu ubovu wa viongozi wetu.keep it up times fm
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.