Hapo mkuu kiroho kuna mambo mawili yapo mbele yako SHEREHE au MSIBA funga muombe mungu sana ,kama ni wa kawaida mshukuru Mungu.
Yalinikuta mimi!!
Sent from my SM-J730G using JamiiForums mobile app
Inaendelea...
Mama mwenyeji alishtuka sana akauliza kulikoni ikabidi john amweleze kuwa hatujala tunaelekea siku ya tatu,ikabidi uji utayarishwe haraka na baadae chakula kamili sasa ubinaadamu ukarudi.
Bado ndoto zetu zipo pale pale na mwenyeji wetu alikuwa akitupa moyo sana tulikaa wiki pale...
Inaendelea...
Toka saa 8 usiku mpk asubuhi tulisimama maana tumelowa balaa, ilipofika asubuhi tukaona njia pekee ya kukauka ni kutembea mwendo mwingine kutoka nje ya mji ili muda tukianza kurudi mpaka tunafika mjini tutakuwa tumekauka.
Kweli tulifanikiwa kwa kiasi japo mabegi yalikuwa bado,mida...
Inaendelea....
Yule polisi baada ya kuturushia kitambulisho na kutuambia you are under arrest tukaona sasa tumekwisha.
Lakini binafsi moyoni mwangu nikajisemea potelea mbali maana tayari nipo SA sheria zao wanakurudisha kwenu, lakini tulindelea kubembeleza hapo kimombo kimeanza kupanda...
Tuendelee..
Kumbe ndani ya ile nyumba walikuwa na mjadala mrefu kuhusu mimi kwa hiyo aliponiona alitahayari na kurudi ndani kuwaeleza kuwa nipo nje.
Alikuja mwenyeji na mke wake wakanihug nikashindwa kuelewa nini kinachoendelea baadae ndio tukapata kujua nini kilimtokea kila mmoja wetu na sasa...
Inaendelea...
Hapo nipo ofisi za uhamiaji yule officer alienirudisha zimbabwe nipo kwake tena safari hii anataka show money,na mimi sina, akaniambia vinginevyo huingii Botswana nikachanganyikiwa safari hii ilikuwa zaidi nikawa najiuliza nitapata msaada wapi tena?
Nikaamua kuwa kichaa zaidi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.